othuman dan fodio
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 6,850
- 11,033
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji28]ukaona yaishe[emoji134][emoji134][emoji16]Hahaha nawafahamu wachache walioko jirani na hapa nilipo, mara kwa mara napata taarifa zao za hivi ndio maana ika comment vile sikuwa nazuia wasife mkuu.
Hahahahaaaa!! Dah!Hizi nyakati usipokuwa imara unajeuka kondoo
Hahaha!!Ajari ni ugonjwa wa aina gani huko kwenu?
Safari za Dar Dodoma hata kwa Vitz/ Passo sikuhizi watu wanaenda
-Pale Dodoma kuna hadi taxi za kwukuwahisha Dar kwa wabunge ambao wanatakaga kwenda Dar weekend bila magari yao wanaenda na Taxi(Premio, Corona nk) na madereva wa Kijiwe cha Dodoma Hotel wanapiga hela
-Halafu pia alikua mzoefu Mwezi uliopita alikuwepo kwenye mkutano mkuu na hapa juzi ndo alikwenda kumsindikiza JPM kuchukua fomu na alishafika akawa anasubiria mkutano wa UVCCM.
- Alipata ajali sehemu alitoka kula Kisasa mwisho nadhani wakati anarudi barabarani ndo lori likamzoa
Pia alikua anatumia Cruiser II mara nyingine
View attachment 1532927
Ajali ya gari yakeAliugua nini ?
Kafara!Ajali
Maskini..alikuwa ni mkaka mzuri ๐ข๐ข๐ขohoo God tupe mwisho mwema.
Pumzika kwa amani Chief๐ญ๐ญ
Kwani siasa ni ugonjwa siku hizi ?Siasa.