NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Nzuri kiasi mtani.Mzee Mwenzangu Habari Yako Mtani.
Karibu nakula karanga mbichi na nazi hapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nzuri kiasi mtani.Mzee Mwenzangu Habari Yako Mtani.
Bocco anaingia kufanya nn
Bora boko aingie
D😀😀😀[emoji23][emoji23][emoji23]Benchi la ufundi la Simba inaonesha jinsi gani walijua Chama ndiye mwenye miujiza ya kubadilisha matokeo. Pablo anamuuliza Chama vipi asa kulikoni? Chama akajibu dakika bado
Sare hiyoHii ngoma ngumu.
Aiseee hivi nyie mashabiki wa Simba mbona Wanafiki sana, si match ya juzi tuu hapa mlikuwa hamtaki Boko kabisa, leo hii ndio amekuwa bora?Bora boko aingie
Sina budi kusema nyie ni vibogoyo.Hiyo furaha yako ni ya mchongo tu subiri uone ni kwa namna gani Simba hutafuna miwa.
SIMBA NGUVU MOJA
Kufunga goalBocco anaingia kufanya nn
Huu uwanja ni compatible na BokoAiseee hivi nyie mashabiki wa Simba mbona Wanafiki sana,si match ya juzi tuu hapa mlikuwa hamtaki Boko kabisa,leo hii ndio amekuwa bora?
Duh, una tofauti gani na ule wa Sokoine?Huu uwanja ni compatible na boko
Potezeni na nyieNa huyu golikipa anapoteza muda hapa kishamba sana
Sana tena.Daaah mambo magumu
Kwani Mtibwa wanacheza wenyewe mazoezi?Uwanja unapiga pasi, unatoa assist, unaokoa
Yani mtibwa wamerahisishiwa vyoote na uwanja
Yanga ni kikundi cha ngesewaSimba ni kikundi cha mashoga
Teh teh teh hii ndio Simba ninayoifahamuNa huyu golikipa anapoteza muda hapa kishamba sana