Mtibwa vs Yanga

geofreyngaga

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2014
Posts
658
Reaction score
946
Kuna kabwana mdogo nimekaambia Yanga ikishinda namnunulia bia moja na ikifungwa basi aninunulie hata fanta orange ntainywa hivyo hivyo, kalivyo kajeuri kasema "broo angu kama vipi tuweke bia 2 kwa 2" Sasa nasubiri 90mins nimnywe 2!!
 
Kuna kabwana mdogo nimekaambia Yanga ikishinda namnunulia bia moja na ikifungwa basi aninunulie hata fanta orange ntainywa hivyo hivyo, kalivyo kajeuri kasema "broo angu kama vipi tuweke bia 2 kwa 2" Sasa nasubiri 90mins nimnywe 2!!
Yanga njoooni huku.....mmekuwa waoga hata kuanzisha Uzi..!! Minyeni kende jamaa asinywe bia..!
 
Yanga njoooni huku.....mmekuwa waoga hata kuanzisha Uzi..!! Minyeni kende jamaa asinywe bia..!
Hawawez kuja. Kwa vile haka kabwana mdogo kajanja janja sika amini nimekapiga pini kabisa kwa kuweka mzigo kaunta mapemaaa. Kakisepa mi najivuta kaunta.
 
Yanga hii mechi hawaponi.wanafungwa na bundi ataamka pale jangwani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…