Mtifuano: Alikiba na Ruby kisa jina la mbwa mpya wa Alikiba

Majina siku hizi yana hati miliki?
Mbona mijibwa chungu nzima inaitwa Tom hatujasikia wenye jina wakilalamika
With all due respect young lady it's just misunderstanding Kiba hawezi kukutukana intensionaly

Kweli wana vipaji lakini wajaribu hata kupata elimu kidogo ya kuwawezesha kupanua uwezo wao wa kufikiri,kupambanua mambo, na kufahamu mengine nje ya mazingira yanayowazunguka!! Kulalamika mbwa kuitwa Ruby ni kituko unless amwombe Kiba abadili jina la mbwa wake!!
 
One week before huyo binti alikutana na diamond na kusema ilikuwa business meeting..! Sasa baada ya siku kadhaa anakuja na barua ndeefu ya malalamiko kwa alikiba, kwa maono ya kwaida unaweza kuhisi kuwa kuna influence ya hii kitu kutokea kutoka upande wa Pili, sasa badala ya kulimaliza na Ali mwenyewe kalibebelea kupeleka insta, kilichomkuta huko hawezi kuludia tena, kuna msanii alishawahi kuulizwa juu ya diamond na alikiba, akasema kwa msanii wa bongo ukitaka kupata hali mbaya basi waseme vibaya hawa wasanii wawili yani diamond na alikiba...! Sasa binti kaona balaa lake
 
Kusema ukweli king kiba amekosea mara nyingi watu hawatoi majina kwa wanyama ambayo yanakonnection na watu wanaowafahamu tayari Rubby na King walishakutana iweje atoe jina hilo au tayari Rubby alishakuwa maarufu ni sawa umpe mbwa wako jina linafanana na mtu mnaefahamiana huyo mtu akijua atajisikiaje kifupi King akiba akutumia busara ,jina King linahitaji busara kama za mfalme suleiman
 
Ukweli Kiba inabidi ajirekebishe niliangalia interview yake na Spora nimeanza kupata perception nyingine juu yake, abadilike kwa kweli
 
Jiwe (madini) yenye thamani rangi yake nyekundu

Nipe mrejesho, mlienda kule Tabata na Kaboom?

Maana jamaa hachelewi kujifanya eti yuko bize.

Kama hamkwenda nipe jibu fasta nijipange kukupeleka maana mimi ndo nilipamwelekeza.
 
Halafu maskini wala hakuna mtifuano wowote, karuby kamelalamika wee kakimlalamia kaka kiba halafu kiba akakaomba radhi yakaisha. ...loh wenye kuyabeba wakayabeba yakanakshiwa kila aina ya maneno kisha yakarushwa halafu yakadakwa na wapenda umbea

Ndo wabongo tulivyo. Wenyewe wameshasameheana kitambo. Ila kuna watu watayakuza na kuongea mambo mengine ambayo sio kabisa

Tena unakuta washabiki tunalalamika kwa wasameheane wakati sisi bado tunataka kuona ligi?
 
RUBY N JINA TUU KAMA MAJINA MENGNE...KWAN MM NKIMUITA MBWA WANGU john! Kuna shida apo?? NADHAN N UTOTO TUU
 


Kwa maoni yangu hii in kutafuta cheap popularity tu.mfano mbwa anaitwa tom na wewe unaitwa to hapo kuna shidaaa????imekuondolea nini wewe?mbona majina mengi ya kiafrika yana maana ya miti,wanyama,mizimu etc hujalalamika?mf.mapunda,ngonyani etc etc,huko ni kufsnanishwa na wanyama?au tu kutafuta cheap popularity?ruby ni wewe peke yako tu?????

Tatizo elimu tu
 
Kiba alikosea bhanaa ifike mahali tuangalie kitu gani alihojiwa na nin alijibu, yeye aliulizwa km ni balozi wa wanyama nataraji utakuwa hata na mnyama yeyote unaefuga, kiba akajibu nafuga mbwa alipoulizwa anaitwaje akacheka km dk 1 then akajibu Ruby Sporah akamuuliza kwanin unacheka ndipo aliposema Ruby ni msanii wa bongo fleva majibu yake yalionesha kuwa jina la Ruby amempa mbwa kutokana na yy anavyomfaham na kumchukulia ruby vile anavyoona yy binafsi kama kiba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…