mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Ushawahi kufika dar?Basi Endeleeni kupigwa Manaa Kumbe hata Ulinzi Hamjui... Kwani Ukimkamata Mmoja au Wawili si watawataja Wengine ....
Tatizo lenu hamna Umoja Dar Nzima Kila Mtu anajifanya yupo Busy anatafuta Maisha
Nishawahi ndioUshawahi kufika dar?
eti wanasema mumiani wanyonya damu...dah kweli mikoani maisha bado.nyie wa mikoani mlivyo mapunguani mnaua hadi maafisa wa kilimo, sa ndo nini, yani nyie ni zaidi ya panya road[emoji23] [emoji23] [emoji23]
ila si anaishi dar...... kakimbia huku mkoani mana sisi hatupendagi ujingaIla kwa nin wanawake wa mikoani wanawashobokea watu wa Dar na pia Vijana wengi wa mikoani wanakuja Dar kutafuta.maisha wakikosa kazi hapo tunapata vibaka Mateja Mashoga? mfano huyu Kaoge ni wa Mkoani huko kanda ziwa
Kuna shida huko munakuja dar mukidhani kupata kazi ni rahisi mwisho wa siku ndo kama hao alipohojiwa alisema kuwa alipo ona maisha magumu ikabid aje Dar as Salaam mana atapata sokoila si anaishi dar...... kakimbia huku mkoani mana sisi hatupendagi ujinga
atapata soko
Soko la Kufira mashogaKumbe wanaume wa dar mpo sokon
Hahahaaa hamna uwezo huo nyie, zaidi zaidi mtaishia kugeuzwa nyieSoko la Ku**** mashoga
uku angekulaa shaba tu uyoo sisi atuleii upuuzi wanaume wa dar mmempokeaa kwa sababu mnafanana nae tabia siunajua tena undugu na urafiki always is about sharing of some common interest.....Kuna shida huko munakuja dar mukidhani kupata kazi ni rahisi mwisho wa siku ndo kama hao alipohojiwa alisema kuwa alipo ona maisha magumu ikabid aje Dar as Salaam mana atapata soko
Jitoleee Basi wewe utoe Tigo kidogo mana jina lako linasadifu yaliyomo legeza basi tako niptishe penis auHahahaaa hamna uwezo huo nyie, zaidi zaidi mtaishia kugeuzwa nyie
Ushawahi ona t*ko lenye magamba? Jaribu uoneJitoleee Basi wewe utoe Tigo kidogo mana jina lako linasadifu yaliyomo legeza basi tako niptishe penis au
Gamba sio ishu unaweza ukawa unaliwa kimya kimya si unajua hii ishu ni siri yakoUshawahi ona t*ko lenye magamba? Jaribu uone
Mikoani ni wapi huko?Habari wakuu.....
Hii iwe Ni Special Thread Ya Vita Ya Wanaume Wa Dar Na Wanaume Wa Mikoan
Hapa tupigane vijembe tusemezane Na
Utani mwingi
kira mtu Atete upande wake kwa Hoja, Vijembe, Utani nk
Matus Si mahala pake hapa leta hoja
Na Ni vzr Nyuz zote zinazoshabiana
Nahili Mods Mngeziunganisha Humu............!!!!!!!!!!!!!!!
Hivi karibuni kumezuka mtindo au tuseme
mtifuano baina ya watu wanaojiita wanaume wa
jiji la Dar es salaam na wale wanaume Wa Mikoan
chanzo cha malumbano hayo ni aina ya maisha ya
vijana wa kiume au kama wanavyojiita wanaume
wanaoishi Dae es salaam
Na wale wasioishi Dar
es salaam....
shutuma nzito
Zinazotolewa na
wanaume wa mikoani au waishio kwenye mikoa
mingine ni
kuwa wanaume wa Dar ni wana tabia
za kike yaani mienendo fulani hivi ambayo
haiendani na haiba ya kiume au
kiuanaume......kama vile kupenda kuongelea
sana au kuchunguza maisha ya watu
wengine....kujiremba sana ili waonekane
warembo na mambo mengine mengi
yasiyopaswa kufanywa na mwanaume rijali....
Kuwa legelege
Huku Wanaume wa Mikoan wakiongozwa na shutma......!!!!!!!!!!
Mwanaume mchafu kuoga kwa kulazimishwaa
Kwapa Na sehem za siri kutonyoa
uchafu mtupu
Usafi wa mdomo ndio sifuri
kabisa,wanaume wa mikoan mnanuka
midomo sababu ya kuendekeza pombe za
kienyeji
Kwenye mavazi ndio kabisaa sifuri,hamna
mpamgilio mzuri wa kuvaa
Nimegusia kira eneo ili Kuwafungua wasio jua kitakacho kuwa kikiendelea humu
Leta utan.....!!!!!
Hoja.....!!!!!!!
Vijembe......!!!!!
Nk
Mim Nipo Newton ( Chotara )