Ambiele Kiviele
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 15,267
- 29,917
Habari wakuu.....
Hii iwe Ni Special Thread Ya Vita Ya Wanaume Wa Dar Na Wanaume Wa Mikoan
Hapa tupigane vijembe tusemezane Na
Utani mwingi
kira mtu Atete upande wake kwa Hoja, Vijembe, Utani nk
Matus Si mahala pake hapa leta hoja
Na Ni vzr Nyuz zote zinazoshabiana
Nahili Mods Mngeziunganisha Humu............!!!!!!!!!!!!!!!
Hivi karibuni kumezuka mtindo au tuseme
mtifuano baina ya watu wanaojiita wanaume wa
jiji la Dar es salaam na wale wanaume Wa Mikoan
chanzo cha malumbano hayo ni aina ya maisha ya
vijana wa kiume au kama wanavyojiita wanaume
wanaoishi Dae es salaam
Na wale wasioishi Dar
es salaam....
shutuma nzito
Zinazotolewa na
wanaume wa mikoani au waishio kwenye mikoa
mingine ni
kuwa wanaume wa Dar ni wana tabia
za kike yaani mienendo fulani hivi ambayo
haiendani na haiba ya kiume au
kiuanaume......kama vile kupenda kuongelea
sana au kuchunguza maisha ya watu
wengine....kujiremba sana ili waonekane
warembo na mambo mengine mengi
yasiyopaswa kufanywa na mwanaume rijali....
Kuwa legelege
Huku Wanaume wa Mikoan wakiongozwa na shutma......!!!!!!!!!!
Mwanaume mchafu kuoga kwa kulazimishwaa
Kwapa Na sehem za siri kutonyoa
uchafu mtupu
Usafi wa mdomo ndio sifuri
kabisa,wanaume wa mikoan mnanuka
midomo sababu ya kuendekeza pombe za
kienyeji
Kwenye mavazi ndio kabisaa sifuri,hamna
mpamgilio mzuri wa kuvaa
Nimegusia kira eneo ili Kuwafungua wasio jua kitakacho kuwa kikiendelea humu
Leta utan.....!!!!!
Hoja.....!!!!!!!
Vijembe......!!!!!
Nk
Mim Nipo Newton ( Chotara )
Hii iwe Ni Special Thread Ya Vita Ya Wanaume Wa Dar Na Wanaume Wa Mikoan
Hapa tupigane vijembe tusemezane Na
Utani mwingi
kira mtu Atete upande wake kwa Hoja, Vijembe, Utani nk
Matus Si mahala pake hapa leta hoja
Na Ni vzr Nyuz zote zinazoshabiana
Nahili Mods Mngeziunganisha Humu............!!!!!!!!!!!!!!!
Hivi karibuni kumezuka mtindo au tuseme
mtifuano baina ya watu wanaojiita wanaume wa
jiji la Dar es salaam na wale wanaume Wa Mikoan
chanzo cha malumbano hayo ni aina ya maisha ya
vijana wa kiume au kama wanavyojiita wanaume
wanaoishi Dae es salaam
Na wale wasioishi Dar
es salaam....
shutuma nzito
Zinazotolewa na
wanaume wa mikoani au waishio kwenye mikoa
mingine ni
kuwa wanaume wa Dar ni wana tabia
za kike yaani mienendo fulani hivi ambayo
haiendani na haiba ya kiume au
kiuanaume......kama vile kupenda kuongelea
sana au kuchunguza maisha ya watu
wengine....kujiremba sana ili waonekane
warembo na mambo mengine mengi
yasiyopaswa kufanywa na mwanaume rijali....
Kuwa legelege
Huku Wanaume wa Mikoan wakiongozwa na shutma......!!!!!!!!!!
Mwanaume mchafu kuoga kwa kulazimishwaa
Kwapa Na sehem za siri kutonyoa
uchafu mtupu
Usafi wa mdomo ndio sifuri
kabisa,wanaume wa mikoan mnanuka
midomo sababu ya kuendekeza pombe za
kienyeji
Kwenye mavazi ndio kabisaa sifuri,hamna
mpamgilio mzuri wa kuvaa
Nimegusia kira eneo ili Kuwafungua wasio jua kitakacho kuwa kikiendelea humu
Leta utan.....!!!!!
Hoja.....!!!!!!!
Vijembe......!!!!!
Nk
Mim Nipo Newton ( Chotara )