Mtifuano wanaume wa Dar vs wanaume wa mikoani

Mtifuano wanaume wa Dar vs wanaume wa mikoani

Kuna mtu atashuka Ubungo na Rambo yake asipokelewe kwa utani huu...ndo utajua kama mahindi hayapakwi chumvi au la
 
Nimepata taarifa kuwa panya road wameibuka maeneo ya Chamazi hapo Dar,naomba mwenye updates kuhusiana na wanaume wa Dar kwenye hii issue atupie hapa please!![emoji1].....Wanaume wa Dar wameshajifungia ndani tayari?[emoji30]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Nimepata taarifa kuwa panya road wameibuka maeneo ya Chamazi hapo Dar,naomba mwenye updates kuhusiana na wanaume wa Dar kwenye hii issue atupie hapa please!![emoji1].....Wanaume wa Dar wameshajifungia ndani tayari?[emoji30]
Si Hata hao panya road ni wanaume WA dar...!?
Sema wanaume wa dar wameingia mtaani...!!
 
Habari wakuu.....

Hii iwe Ni Special Thread Ya Vita Ya Wanaume Wa Dar Na Wanaume Wa Mikoan

Hapa tupigane vijembe tusemezane Na
Utani mwingi

kira mtu Atete upande wake kwa Hoja, Vijembe, Utani nk

Matus Si mahala pake hapa leta hoja

Na Ni vzr Nyuz zote zinazoshabiana
Nahili Mods Mngeziunganisha Humu............!!!!!!!!!!!!!!!

Hivi karibuni kumezuka mtindo au tuseme

mtifuano baina ya watu wanaojiita wanaume wa
jiji la Dar es salaam na wale wanaume Wa Mikoan

chanzo cha malumbano hayo ni aina ya maisha ya
vijana wa kiume au kama wanavyojiita wanaume
wanaoishi Dae es salaam

Na wale wasioishi Dar
es salaam....

shutuma nzito

Zinazotolewa na
wanaume wa mikoani au waishio kwenye mikoa
mingine ni

kuwa wanaume wa Dar ni wana tabia
za kike yaani mienendo fulani hivi ambayo
haiendani na haiba ya kiume au
kiuanaume......kama vile kupenda kuongelea
sana au kuchunguza maisha ya watu
wengine....kujiremba sana ili waonekane
warembo na mambo mengine mengi
yasiyopaswa kufanywa na mwanaume rijali....

Kuwa legelege

Huku Wanaume wa Mikoan wakiongozwa na shutma......!!!!!!!!!!

Mwanaume mchafu kuoga kwa kulazimishwaa

Kwapa Na sehem za siri kutonyoa
uchafu mtupu

Usafi wa mdomo ndio sifuri
kabisa,wanaume wa mikoan mnanuka
midomo sababu ya kuendekeza pombe za
kienyeji

Kwenye mavazi ndio kabisaa sifuri,hamna
mpamgilio mzuri wa kuvaa

Nimegusia kira eneo ili Kuwafungua wasio jua kitakacho kuwa kikiendelea humu

Leta utan.....!!!!!
Hoja.....!!!!!!!
Vijembe......!!!!!

Nk

Mim Nipo Newton ( Chotara )
Hivi kumbe Dar kuna wanaume?
 
Habari wakuu.....

Hii iwe Ni Special Thread Ya Vita Ya Wanaume Wa Dar Na Wanaume Wa Mikoan

Hapa tupigane vijembe tusemezane Na
Utani mwingi

kira mtu Atete upande wake kwa Hoja, Vijembe, Utani nk

Matus Si mahala pake hapa leta hoja

Na Ni vzr Nyuz zote zinazoshabiana
Nahili Mods Mngeziunganisha Humu............!!!!!!!!!!!!!!!

Hivi karibuni kumezuka mtindo au tuseme

mtifuano baina ya watu wanaojiita wanaume wa
jiji la Dar es salaam na wale wanaume Wa Mikoan

chanzo cha malumbano hayo ni aina ya maisha ya
vijana wa kiume au kama wanavyojiita wanaume
wanaoishi Dae es salaam

Na wale wasioishi Dar
es salaam....

shutuma nzito

Zinazotolewa na
wanaume wa mikoani au waishio kwenye mikoa
mingine ni

kuwa wanaume wa Dar ni wana tabia
za kike yaani mienendo fulani hivi ambayo
haiendani na haiba ya kiume au
kiuanaume......kama vile kupenda kuongelea
sana au kuchunguza maisha ya watu
wengine....kujiremba sana ili waonekane
warembo na mambo mengine mengi
yasiyopaswa kufanywa na mwanaume rijali....

Kuwa legelege

Huku Wanaume wa Mikoan wakiongozwa na shutma......!!!!!!!!!!

Mwanaume mchafu kuoga kwa kulazimishwaa

Kwapa Na sehem za siri kutonyoa
uchafu mtupu

Usafi wa mdomo ndio sifuri
kabisa,wanaume wa mikoan mnanuka
midomo sababu ya kuendekeza pombe za
kienyeji

Kwenye mavazi ndio kabisaa sifuri,hamna
mpamgilio mzuri wa kuvaa

Nimegusia kira eneo ili Kuwafungua wasio jua kitakacho kuwa kikiendelea humu

Leta utan.....!!!!!
Hoja.....!!!!!!!
Vijembe......!!!!!

Nk

Mim Nipo Newton ( Chotara )
Sifa za wanaume wa Dar
Kujichubua.
Kupenda kulelewa.
Kuishi maisha yasioyao.
Wengi wao ni migasho.
Roho mbaya.
Umbea na kusuntana.
Eeh wabinafsi acha kabisa.
Wengi wao majogoo hawapandi mitungi.
Yani wao waambie kuolewa ndo habari wanaziweza.

Wanaume wa huku kwetu.
Wanajua kipi kimewaleta duniani.
Ni rahis sana kuwapa wenzao connection za kazi na videal deal.
Wanaeza onganisha hadi bao tatu.
Wanajua mwanamke anahitaji nin.
Wengi wao wana rangi zao za asili.
Wanajua kutunza familia haswa.
6/6 utadata.
Wana mijib****o ya haja.
Wanajua kumwaga pesa kwa sabb wanajua kuzitafuta.
 
Back
Top Bottom