Mtihani Darasa la Saba

Hii topic hapa si mahala pake. Humu kuna mtoto wa primary anaingia?. Au hzo comment zenu nani atazisoma.
Wengi humu ndani tuna watoto..na baadhi ya wanetu ndio wanaanza mitihan yao leo hii!
Siyo lazima wao wasome,
Kama wewe halikugusi kwa namna moja au nyingine..hulazimishwi kuchangia..ipotezee tu!
 
all the best my young bro's & csta's
 
Nawatakia Mtihani mwema..
Nakumbuka miaka hiyo furaha niliyokuwa naiwazia baada ya kumaliza shule ya msingi.
Wishing You All The Best!
Wahusika wa hizi wishes wapo facebook. wafate huko.
 
Wahusika wa hizi wishes wapo facebook. wafate huko.
Naona na wewe huko facebook ulipopataja ndio panakufaa zaidi. U don't sound like a Great Thinker
 
Basi serikali iwe inatoa primary certificate ili kuwe kuna mzuka katika mitihani hii jamani.
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
<br />
Mzuka utatoka wapi mkuu?wadogo wenyewe paper hawaifeel kama enzi zetu,paper la multiple choice tupu hadi hesabu wapi na wapi bwana
 
Wengi humu ndani tuna watoto..na baadhi ya wanetu ndio wanaanza mitihan yao leo hii! <br />
Siyo lazima wao wasome, <br />
Kama wewe halikugusi kwa namna moja au nyingine..hulazimishwi kuchangia..ipotezee tu!
<br />
<br />
hapo sion logic behind.
 
Jamani elim ya bongo kwiiisha kabisa!!!! yaan hesabu za kuchgua
 
Duuu! Aiseee! Hii imenikumbusha mbali sana maana siku niliyomaliza la 7 lilipikwa pilau la nguvu shuleni na mara baada ya paper tu mida ya adhuhuri watahiniwa wote tukajumuika kwenye kiwanja kikubwa shuleni kwa ajili ya msosi wa pamoja. Ilikuwa siku bomba sana kiukweli ingawa kwa kiasi flani iliniachia huzuni kwani ilinafanya nitengane na watu tulioishi miaka saba! Na wengi ndio ilikuwa siku ya mwisho kuwaona kwa hiyo all the best my young brothers and sisters and wellcome to the new phase!
 
Mpaka sasa kuna wanaochekelea na wengine wamenuna..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…