Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,219
- 4,064
- Thread starter
- #21
Wengi humu ndani tuna watoto..na baadhi ya wanetu ndio wanaanza mitihan yao leo hii!Hii topic hapa si mahala pake. Humu kuna mtoto wa primary anaingia?. Au hzo comment zenu nani atazisoma.
Siyo lazima wao wasome,
Kama wewe halikugusi kwa namna moja au nyingine..hulazimishwi kuchangia..ipotezee tu!