Jephta2003
JF-Expert Member
- Feb 27, 2008
- 6,590
- 6,355
ni chumba ambacho hutumiwa kuhifadhia mitihani ya kitaifa ktk shule kwa jina lingine huitwa chumba imara ambacho huwezi ingia kirahisiKazi kweli kweli........jamani strong room ndo room gani
Haitoshi hatua zaidi za kisheria zichukuliwe dhidi ya dhalimu huyo.Kwanza apimwe akili...Habari za uhakika toka kondoa OCD husika anahamishwa na leo anakabidhi ofisi
Waalimu wa huko walichachamaa kupinga kitendo hicho chwa mwl mwenzao kudhalilishwa
Umenifurahisha sana, naomba ukifika huko badilisha akili za walimu wetu hawa, tumechoka kusikia mara mkuu wa wilaya ametandika walimu viboko, mara mzazi amempia mwalimu mpaka kazirai, hii nini sasa!!!!!!!!mimi nasomea ualim na niimepita jkt subiri niajiriwe alafu kenge ajitokeze aone moto kwanini upigwe kizembe hivyo./
Habari za uhakika toka kondoa OCD husika anahamishwa na leo anakabidhi ofisi
Waalimu wa huko walichachamaa kupinga kitendo hicho chwa mwl mwenzao kudhalilishwa
Kwa hiyo kama kuna uzembe katika utendaji hakuna njia sahihi za kuwajibisha mtu bali jibu lake ni kupiga tu au siyo?achene kutetea jinga OCD yupo sahihi, Mkuu wa shule anapata fedha za Capitation kiasi cha Tshs 12,000/= kwa kila kichwa cha mwanafunzi aliyepo shuleni, hapo Wakuu wa shule huongeza idadi ya wanafunzi hewa kadhaa ili apate capitation kubwa zaidi! kujenga strong room ni wajibu wake shule inapaswa kuwa na strong room! muulize Mkuu wa shule vyeti vya wanafunzi na nyaraka zingine za siri anaweka wapi? ............................ kuna wakuu wa shule anashindwa haja kununua meza ya ofc yake huyo anamsubiri JK amretee wakati ana capitation achilia mbali ada za wanafunzi na michango mingine ambayo ana mamlaka ya kupanga matumizi yake?.............TAFAKARI CHUKUA HATUA KWA SEHEMU YAKO ULIPO TUWE WAZARENDO ANZA WEWE WENGINE WATAFUATA
Haitoshi hatua zaidi za kisheria zichukuliwe dhidi ya dhalimu huyo.Kwanza apimwe akili...
Dada yangu hata wakati ule wewe unasoma shule, hicho chumba kilikuwepo, katika shule nyingi huwa ni ofisi ya Mwalimu mkuu ambapo ndani yake huwa kuna KASIKI (KABATI LA CHUMA) ambalo humo huhifadhiwa nyaraka nyeti kama vyeti vya watahiniwa na mitihani kama wakati huu ikifanyika.Kazi kweli kweli........jamani strong room ndo room gani
Katika hali isiyo ya kawaida, OCD wilaya ya Kondoa amempiga mateke, ngumi, vibao na kumchania shati mkuu wa shule wa shule ya sekori Kikore wilayani hapo.
Tukio hilo lilitokea jana 03/11/2013 ambapo kamati ya wilaya iilipopita shuleni hapo kusambaza mitihani ya kidato cha nne iliyoanza leo hii.OCD huyo alimuuliza mkuu wa shule "STRONG ROOM IKO WAPI?" mkuu wa shule akawaonesha chumba cha darasa ambacho hutumika kama ofisi ya mkuu wa shule na staff ya walimu,ndipo OCD alipoanza kutoa matusi ya nguoni akitaka kuoneshwa strong room nyingine, mkuu alipokosa majibu ndipo OCD alianza kumpatia kichapo kikali kilichosababisha majereha katika mwili wake.
Katika hali ya kushangaza wajumbe waliokua wameandamana na OCD huyo ambao ni AFISA ELIMU MSAIDIZI WA WILAYA, NA AFISA USALAMA WA WILAYA WALISHANGILIA TUKIO HILO JAMBO LILOMFANYA MKUU WA SHULE KUKOSA MSAADA.
Aidha shule ya sekondari ya Kikore ni moja ya shule za kata ambayo haina jengo la utawala na upungufu mkubwa wa miundombinu hivyo kumlazimu mkuu wa shule kuchukua chumba kimoja cha darasa na kukigawa upande mmoja kua ofisi yake na upande mwingine ofisi ya walimu wote.
POLE SANA MKUU WA SHULEPOLENI SANA WALIMU WA TANZANIA!
walimu ni wa kupiga tu kama pinda alivyosema, huwa hawajitambui hawa walimu ni waoga hata kudai haki zao, wakiambiwa wagome hawagomi, kwenye mikutano ya lichama la mafisadi wanapeleka wanafunzi.....hongera sana OCD tahira kwa kumpiga huyo mwalimu, ikibidi ma-OCD wote igeni huo mtindo.
Katika hali isiyo ya kawaida, OCD wilaya ya Kondoa amempiga mateke, ngumi, vibao na kumchania shati mkuu wa shule wa shule ya sekori Kikore wilayani hapo.
Tukio hilo lilitokea jana 03/11/2013 ambapo kamati ya wilaya iilipopita shuleni hapo kusambaza mitihani ya kidato cha nne iliyoanza leo hii.OCD huyo alimuuliza mkuu wa shule "STRONG ROOM IKO WAPI?" mkuu wa shule akawaonesha chumba cha darasa ambacho hutumika kama ofisi ya mkuu wa shule na staff ya walimu,ndipo OCD alipoanza kutoa matusi ya nguoni akitaka kuoneshwa strong room nyingine, mkuu alipokosa majibu ndipo OCD alianza kumpatia kichapo kikali kilichosababisha majereha katika mwili wake.
Katika hali ya kushangaza wajumbe waliokua wameandamana na OCD huyo ambao ni AFISA ELIMU MSAIDIZI WA WILAYA, NA AFISA USALAMA WA WILAYA WALISHANGILIA TUKIO HILO JAMBO LILOMFANYA MKUU WA SHULE KUKOSA MSAADA.
Aidha shule ya sekondari ya Kikore ni moja ya shule za kata ambayo haina jengo la utawala na upungufu mkubwa wa miundombinu hivyo kumlazimu mkuu wa shule kuchukua chumba kimoja cha darasa na kukigawa upande mmoja kua ofisi yake na upande mwingine ofisi ya walimu wote.
POLE SANA MKUU WA SHULEPOLENI SANA WALIMU WA TANZANIA!