We endelea kupiga ramli hata msimu huu mlitutabiria tunajenga timu, timu haina uzoefu na NBC hatutoweza kuchukua ligi.
Tukaenda round ya kwanza kuisha, ohoo Simba round ya pili ndio wanakuwa wazuri, Yanga baskeli ya miti, mkasahau misimu iliyopita mda kama huu mnaviporo saba mkononi mmefunikiwa na TFF so msimu huu viporo havikuwepo.
Hayo ya mbele muyaache kwani kila mlicho itabiria Yanga hakijatokea.
Cha msingi na nyinyi jengeni timu huku mkimpa muda kocha wenu, Don Pablo bin Madrid kutoka Spain, huku mkiwapa muda Mugalu, Kagere, Bwalya nk waizoee ligi pamoja na wenzao.
Simba Guvu Moja.
NB:Halafu huu mwandiko sio wa shabiki wa Yanga. (.......ulivyo anza kulutumia neno....JE MTARUHUSU.......KAMA KIPIMO CHENU.....ndipo ulipo haribu).