demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Huu mtihani unachukuliwa poa sana.
Nadhani hata viongozi wanaona ni mwepesi kwakuwa mtani wao aliweza kufanya vyema kwenye medani hizo huku akiwa Bingwa wa Ligi akiwa na perfomance mbaya kuzidi yao ya msimu huu.
Natambua malengo ni kushiriki fainali ya Klabu bingwa tofauti na ya wenzenu ambao wanalenga kufika robo fainali tu.
Je, mtaruhusu rekodi hii ya unbeaten kwenye Ligi itumike kama kipimo chenu.
Hapana kwakeli. Hivi sasa tujiandae sawa sawa na Malengo yetu.
Tamaduni ya Hii Klabu ni “MATAJI TU” na sio kingine.
Nadhani hata viongozi wanaona ni mwepesi kwakuwa mtani wao aliweza kufanya vyema kwenye medani hizo huku akiwa Bingwa wa Ligi akiwa na perfomance mbaya kuzidi yao ya msimu huu.
Natambua malengo ni kushiriki fainali ya Klabu bingwa tofauti na ya wenzenu ambao wanalenga kufika robo fainali tu.
Je, mtaruhusu rekodi hii ya unbeaten kwenye Ligi itumike kama kipimo chenu.
Hapana kwakeli. Hivi sasa tujiandae sawa sawa na Malengo yetu.
Tamaduni ya Hii Klabu ni “MATAJI TU” na sio kingine.