Uchaguzi 2020 Mtihani mkubwa ulio mbele ya CHADEMA ni kupata fedha za kampeni za Urais. Chama hakina fedha na Mgombea hana fedha

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
Mtihani mkubwa mbele ya CHADEMA ni kupata pesa za kampeni za ugombea urais sababu chama hakina pesa na aliyependekezwa kugombea pesa hana.

Pesa nyingi mno huhitajika kwenye kampeni ya urais. Ni mtihani mkubwa mno ulioko mbele ya CHADEMA.

Kampeni inahitaji bilions of money kwa ajili ya logistics, misafara ya mgombea kuzunguka na waandishi wa habari, kununua airtime kwenye vyombo vya habari, kununua front pages za magazeti ili habari za mgombea ziandikwe na front pages ni gharama ya kufa mtu.

Kupata pesa za kampeni ni challenge kubwa mno inayoikabili CHADEMA.
 
Mie nimekuuliza swali. "Wewe ni mke wa CHADEMA hadi ujue siri za ndani za mumeo?"
 
Kiukweli unategemea na namna unavyoyata kampeni iwaje! Hata vyama vingine havina fedha ukiondoa CCM ambayo haitabiriki, simple kampeni wanaweza!
 
Tutamchangia Lissu.
 
ha ha ha ha !!! mtachanga za tigo rusha ? Ndio utegemee kuendeshea kampeni ya uraisi? uwii mbavu zangu mimi wacha nicheke

Wanachama wa cdm ni wazungusha mikono na kushikiwa akili siku zote. Walikuwa wananaibiwa kwa kuchangishwa fedha za mafuta ya hedikopta, baadaye ikaja hiyo ya kupitia tigo. Wabunge tukawasikia juzi kati hapa wakilalamikia kukatwa mishahara yao kwa kushurutishwa na lazima. Hakuna hata mwenye kuthubutu kuomba kupewa maelezo ya jinsi fedha hizi zinatumika.

Mkt atakuja na mradi wake wa Fuso chakafu. Makumu mwenyekiti na bajeti yake ya kusimamia kesi mbalimbali za wanachama. Wajinga ndio wali wao huliwa kama ubwabwa.
 
Mbona wewe mwanamke unahangaika hivo? Sasa si mshukuru mmepata hohehahe ambaye atawapunguzia kazi na kupunguza gharama za kampeni? Msifanye hata mikutano ya kampeni kwasababu mshindani hawezi kwenda kokote.

Wewe dada unaumizwa na kitu kisichokuhusu. Kwanini ujibebeshe mzigo mzito hivo? Siyo vizuri kwa afya yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…