Mtihani: Sina kazi ila nimepata fursa ya kutengeneza filamu za ngono nje ya nchi

Mtihani: Sina kazi ila nimepata fursa ya kutengeneza filamu za ngono nje ya nchi

Wasalam wana wa jukwaa.

Ndugu zangu yapata siku kadhaa sasa nawaya waya nisijue la kufanya. Kwa muda mrefu nimeishi bila kazi ya maana zaidi ya kubeba zege kwenye makampuni ya ujenzi ya kichina yenye manyanyaso lukuki.

Elimu yangu ni kidato cha sita, sikuweza kuendelea zaidi kwa sababu za kiuchumi. Sasa katika kuperuzi peruzi kwenye mitandao nimekutana na site nyingi zinazojihusisha na utengenezaji wa hizi filamu za kikubwa(XXX VIDEOS) zikihitaji wahusika (male perfomers) wa kushiriki katika utengenezaji wa hizo filamu.

Basi nikaona kama ni moja ya njia ya kutokea, nikajaza viambata vilivyokuwepo kwenye sites zao halafu nikatuma, nimetuma kwenye makampuni nane.Kampuni tatu zimenikubali, moja wamenikataa sababu ya umri kuwa chini ya miaka 30, na mengine hayajajibu.

Kuna kampuni walionikubali moja kwa moja na tuliwasiliana kwa njia kadhaa zikiwemo za e-mail na WhatsApp, wapo kwenye nchi yenye ubalozi wao hapa TZ, waliniambia nikiwa tayari niende kwenye ubalozi wao ili kushuulikia taratibu zote za usafiri na gharama zote ni juu yao.Nilipofika ubalozini nilikuta kweli hao jamaa wapo serious kwa sababu taarifa zangu zilikuwepo kwenye ofisi za balozi. Vipimo vya afya, majaribio, malipo na mkataba ndizo hatua zinazofuata.

Wadau wa MMU, kiukweli nakuwa na kusitasita juu ya kubong'oa wanawake mbele ya kamera na madirector kibao lakini nikipiga picha haya maisha magumu ninayopitia naona kama hii ni last chance adimu ya kutokea.

Naombeni muwe watulivu na kunipa michango yenu ya kimawazo juu ya hili jambo nami nijue pakuchagua.
kwakua adi umeziona izo chance,bas na ww ni muhusika.Hivyo mm nafikiri ww nenda tu,yatakayo kukuta itakua fundisho kwako.....maana siku hizi mapenzi ya jinsia moja ndio yametawala...na movie zake ndio zinauzwa sana....U better take care...!!
 
kwakua adi umeziona izo chance,bas na ww ni muhusika.Hivyo mm nafikiri ww nenda tu,yatakayo kukuta itakua fundisho kwako.....maana siku hizi mapenzi ya jinsia moja ndio yametawala...na movie zake ndio zinauzwa sana....U better take care...!!
Mbona mnakomalia sana kwenye ushoga? Mkuu wale wanaofanya hayo ni kwa hiyari yao na sii kwa kulazimishwa.
 
Mungu hachelewagi wala hawai ila daima huwa yuko ndani yamuda muafaka, siku moja kwake ni sawa na miaka elfu, kadhalika miaka elfu kwake ni sawa na siku moja.
Kweli kabisa
 
Umemiss vitu vya msingi kwenye story yako kuifanya iwe realistic...
 
Ukishaona MTU amemaliza six anabeba zege? Halafu lama in taratibu zote hadi embassy unataka ushauri gani nenda kashike ukuta
 
Muda mwafaka wa sisi kukushauri ulikuwa ni kabla hujaamua kujaza fomu za kuomba hiyo kazi yako. Kwa kuwa hukuhitaji ushauri wakati ule, naamini huhitaji ushauri hata sasa. Fanya tu uamuzi wewe mwenyewe.
Ata sasa hivi nafasi ya kushahuriwa ipo Mkuu, bado sijafanya final decision.
 
Mdogo wangu, maana ya uanaume, siyo lining'iniza dushe hapo mbele, wala si suala la kuvaa suruali. Uanaume ni zaidi ya tunauchukulia tulio wengi. Mwanaume wa kweli ni yule anayeweza kukabiliana na changamoto zote za maisha wakati huohuo akitunza sifa iliyo njema ktk jamii. Kutafuta mteremko ktk kukabiliana na changamoto za maisha huo ni "uanauke". Si wote tunaomiliki majumba na magari tumetoka familia zilizo njema. Wengine tumepitia misukosuko ambayo haielezeki. Nacho kushauri, usikubali kuingia ktk michezo itakayo haribu reputation yako kisa ugumu wa maisha. Komaa na zege wakati huo ukipunguza anasa ili hatimae upate msingi japo wa genge la nyanya. Mtangulize Mungu ktk kila jambo ufanyalo, nakuhakikishia hatokuacha kamwe.
 
rudi kijijin kwenu ww, daah pesa kwel mwanaharam, the things people are willing to do for money
 
Story siyo realistic lakini tukio ni real.Hata hivyo wewe kuwa na uhakika juu ya hili jambo kama ni kweli au la! halitabadili kitu.
Ok Mr.Realistic...
Ndugu wana jf salamu!
Bila shaka mmekuwa na wiki njema, na mnaendelea vizuri na weekend.

Ndugu zangu mimi maisha yameniwia kama juisi ya pili pili kwa mtoto mchanga, ni machungu sana
Hayana furaha, amani, pesa, mapenzi, faraja, na hata nikitumia jicho la mbuni kuitzama, sioni faraja siku za mbeleni.

Yaani mimi nikipanga mipango ya kutoka, nadra sana kufanikiwa, ninajitahidi sana kaw kila kitu lakini napata nisiyotarajia.
Kazi napiga sana ila nahishia kuambulia msosi, pango na vocha za kuotea kama leo, sina uhakika wa kesho mimi.Najibana ili walau mfuko utune ila mwishoni najikuta kapuku yaani pesa imekuwa adimu sana kwangu, siyo hii ya JPM wala ile ya JK.

hisia zangu zikipanda naishia kunyetoka bila kikomo, kuacha puchu nimeshindwa kabisa, nitaachaje wakati sina bae,

Puchu imeniletea madhara kibao, yaani miguu, magoti yana waka moto sababu ya kunyetoka, imeniadict vibaya sana.Kila mara naajiapia kuwa ni mara ya mwisho, lakini kiapo nitakikumbuka baada ya kupuchuka.

Ndugu zangu kila nikiyaangalia haya maisha yangu toka utotoni, ni maisha yasiyo na furaha, amani ya akili, matumaini, pesa, mapenzi na bila faraja.Yaani nimepoteza hata ile hali ya kujiamini kabisa.
now this seems more realistic to me...Kama ni kweli basi maamuzi ya busara yako juu yako.lakini kama ni porojo za kutafuta faraja kwasababu ya kukosa kitu cha maana cha kufanya,kuna hatari ya mambo kukuendea segemnege..
 
Kutoka kwenye "Terms and Rules" hapo juu

See 9 and 17

SHERIA NA KANUNI ZA JAMIIFORUMS

Tafadhali jiepushe na mambo yafuatayo:

1. Kumvunjia heshima, kumkejeli, kumtukana, mjumbe yeyote.

2. Kuleta katika JAMII FORUMS maelezo yenye maudhui mabaya, au kuweza kuleta maudhi yoyote kwa wajumbe ama kwa wingi wake, ukubwa wake, au mfumo wake.

3. Kuleta makala au kuendeleza mijadala yenye kuleta ugomvi, uchochezi na yenye muelekeo wa kutengenishana badala ya kuungana miongoni mwa wajumbe wa JAMII FORUMS na Watanzania wote kwa ujumla.

4. Kuleta maongezi binafsi baina ya mwanachama na mwanachama (waliojisajili) waliyoongea kwa kuaminiana kutoka katika Private Messages (PM) au barua pepe (Emails) na kuyaanika hadharani kwa nia ya kuchafuana.

5. Kusambaza kwa makusudi au kwa uzembe barua zenye virusi vya kompyuta.

6. Kutoa maelezo au shutuma dhidi ya mwanachama mwenzako, kiongozi wa au watu wenye hadhi kijamii bila kuwa na ushahidi wa kutosha kwa lengo la kuchafua rekodi safi ya mhusika kijamii.

7. Ni sharti kwa kila mwanachama kutoa maelezo au mchango wake kwa uwazi na ukweli na kutomuogopa yeyote wala kumpendelea yeyote bali kuweka mbele maslahi ya taifa.

8. Kila mwanachama yupo huru kutoa maoni yake mradi yaliyotajwa hapo juu yanazingatiwa.

Hatua za kinidhamu zinaweza kuchukuliwa dhidi ya yeyote yule atakayeshindwa kuzingatia maelezo hayo hapo juu.

Other Rules to be noted:

1 - Flaming, Bashing, and Trolling:
Hate posts and personal attacks will not be tolerated on the boards. Treat others on these message boards as you would expect them to treat you. Posting topics specifically designed to provoke a negative response from someone (aka trolling) is also asked to be avoided.

2 - Profanity:
Profanity is not tolerated in the board, some words will be censored, also there is to be no name calling, linking two/more display names or a display name with a real name, doing so will give you a warning, and then a ban if you continue.

3 - Spam:
Purposely spamming a message board with senseless, vacuous, or empty messages to gain a higher post count, or just to annoy others is HIGHLY frowned upon! Commercial spamming and advertising are just as unwelcome unless it is done in the special designed area. Promoting your site is only allowed with permission of the site owners. Bumping old threads is allowed in the request forums, but needless bumps in other forums will be classed as spam. Double posting any entry is also considered as spamming.

4 - Email & Private Message Spam:
If the members are using the private message facility to spam the others with pointless, unsolicited mail they will be banned. If anyone receives one of these messages, please contact an admin immediately.

5 - Piracy, and Warez:
We do not mind discussions about piracy or warez, as long as they are just that...discussions. Linking or giving information about any site that distributes illegal software, or warez, seeking help to circumvent any copyright laws, or encouraging software or media piracy grounds for an immediate ban.

6 - Impersonating Other Users / Accessing Another User Account:
You may not impersonate another board member or create an account specifically for the purpose of provoking other users. Also, accessing or using someone else's account or attempting to access another poster's account is strictly prohibited. You will be banned.

7 - Off-Topic Posts:
There is no major punishment for off-topic posters. But lets be honest, it drives us all mad!! If you have something to say but it really has nothing to do with the current thread you are in, please open a new thread for it. Otherwise it will just be deleted and won't solve anything at all.

8 - Circumventing a Ban:
If you log onto the forums and receive a message that you have been banned, please submit an unban request and wait for a staff member to get in touch with you. You may NOT re register under a new name if the software lets you. But, if you try to sign up again and we caught you, then it will become a permanent IP Ban. We do NOT send out notices that you have been banned.

9 - Nudity / Porn:
Please remember that this board is a PUBLIC forum. There are 12 year olds here just as there are 50 year olds. Nudity and porn is prohibited for obvious reasons.


10 - Signatures & Avatars:
We do not have any specific set of rules regarding signatures. However, we do ask you that it will not be offensive to others and the length should be within reason. If you desire to have a custom avatar, it must be 100x100 pixels or less. No adult, drug related or racist content please.

11. Do not post any copyrighted material unless the copyright is owned by you, except for brief credited excerpts to illustrate a point;

12. You will not post what is commonly called spam, which includes but is not limited to such things as advertisements, chain letters, pyramid schemes, solicitations, or promoting a particular cause or organization. Exceptions may be granted for worthy (in our sole opinion) causes if you obtain prior permission from us;

13. We reserve the right to ban any user temporarily or permanently, refuse posting from screen names we find offensive, edit or delete any post, limit postings on any topic, and shut down any topic altogether, for any reason, or no reason, without explanation or warning.

14. You are solely responsible for the content of your messages. We cannot verify content and thus accept no responsibility for it, nor do we vouch for the accuracy, completeness, or utility, of any message or the qualifications of any user.

15. Do not post private messages at JamiiForums or elsewhere without the express permission of the sender of the Private Message.

16. Do not engage in internet stalking. This includes, but is not limited to, following a JamiiForums member from site to site, or from thread to thread within this site; taking posts from JamiiForums in order to attack a poster at another site; and attempting to defame or discredit JamiiForums members on other sites for views they may have expressed at JamiiForums.

17 - Questionable Content:
Since we can't have a rule to cover everything, this is the rule to, well, cover everything. These are public boards, so act like you would if you were in a public place. These issues are left to the discretion of the individual moderators, but may include any material that is knowingly false and or defamatory, misleading, inaccurate, abusive, vulgar, hateful, harassing, obscene, profane, sexually oriented, threatening, invasive of a person's privacy, that otherwise violates any law, or that encourages conduct constituting a criminal offense.
Mkuu ebu weka maelezo juu ya nia yako ya kupost hizi sharia.
 
Upo tayari nikuunganishe jkt... Ukasubirie ajira huko?
Kijana bado una nguvu tumia nguvu yako kwa taifa lako.
 
Ok Mr.Realistic...











now this seems more realistic to me...Kama ni kweli basi maamuzi ya busara yako juu yako.lakini kama ni porojo za kutafuta faraja kwasababu ya kukosa kitu cha maana cha kufanya,kuna hatari ya mambo kukuendea segemnege..
Mkuu haya maisha yangu yaache tu Man, Ninavyosema mambo ni magumu kwangu hakika sitanii.
 
hatari sana kama inawezekana achana na hayo makitu.....
 
Back
Top Bottom