Mtihani upo hapa...!

StudentTeacher

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2019
Posts
4,153
Reaction score
4,301
Ukiwaajiri kwa wingi utajipunguzia idadi ya chawa kwa sababu hawatakubali kula punje wakati wana uhakika wa unga(ugali).

Na ukisema uwaajiri wachache kundi linalobaki linaunda NETO,UYAM n.k ili kukukabili. Mbaya zaidi makundi haya yanaibukia 2025 wakati unahitaji kura zao!.

It is examination in deed(Mtihani kwelikweli)
 
Who cares?
Do you know them well?
 
Samia ana kazi kubwa kipindi hichi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…