Mtihani usahihishwe upya

kaka mie niko masters Open University so the issue I raised here I have made a minor research and siamin kama wat zaid ya laki mbili wapate ziro. Basi huenda ile chanjo waliopigwa ya kupunguza uwezo wa kufikir inaeanya kaz.

kuwa masters sio issue toa pesa mitihani isahihishwe upya huwezi lazimisha nyeupe kuwa nyeusi na nyeusi kuwa nyeupe baada ya kusahihisha huwa kuna wahakiki ina maana hilo halikufanyika.
 
Hivi shule zetu ambazo matokeo yalikuwa yakitokwa tunajua ndo vinara zime kubwa na tetemeko gani? Msoma tech,Mosh tech,Dar Tech ,Eliboru,Mzumbe,Pugu,Minaki ,Kibaha,Azania ,na nyingne
 
tumeshafika hapa... ni suala la kujiuliza je utendelee tulivyo au tujitathmini upya, ujue wanaoumia ni sisi walalahoi, wao watoto wanasoma shule za madaraja yao hapa nchini au nje ya nchi.
 
Nasikia kuna baadhi ya shule,wamiliki wake walikua wamezoea aidha kununua mitihani ama kuwahonga wasimamizi ili walimu ama watu waliondaliwa waingie ktk vyumba vya mtihani kuwaonyesha watahiniwa majibu!
 
Kuamini kila unachoambiwa nalo ni bomu la kitaifa,cwez kuamini matokeo ya mwaka huu maana kuna hila za walimu ili waongezewe mishahara
 
Kwanini huamini kama mitahini yenyewe ya darasa la saba wanafeli mpaka wabebwe na form 2 hivyo hivyo, je ukisahihishwa upya matusi au mashairi ya mapenzi na wasiojibu kitu yakutakuwa majibu sahihi?

Tafadhali sana kama umepitia shule basi changia pointi ya maana, watanzania wote wamelaani matokeo haya wewe bado unataka kumtetea kawambwa
 
Usipige kelele na matokeo ya mitihani hii ni serekali ya kilimo kwanza sio elimu kwanza
 
Tafadhali sana kama umepitia shule basi changia pointi ya maana, watanzania wote wamelaani matokeo haya wewe bado unataka kumtetea kawambwa
Tatizo umekurupuka ndio maana umeshindwa elewa nilikuwa najadili nini futilia vizuri na hoja inasemaje sijamtetea kawambwa, wanao laani matokeo haya hawafuatilia system ya elimu hasa huko chini wanaangalia effect tu labda na wao walipita shule kama wewe ila wangekuwa wamesoma wangejua chanzo ni nini cha matokea haya mabaya na sio kulaani tu
 
kaka mie niko masters Open University so the issue I raised here I have made a minor research and siamin kama wat zaid ya laki mbili wapate ziro. Basi huenda ile chanjo waliopigwa ya kupunguza uwezo wa kufikir inaeanya kaz.
kaka si unasoma masters? basi choreni akina mesi na miti kwenye pepa zenu afu tujenge hoja kuwa haiwezekani watu wote wa masters kufeli
 
kaka si unasoma masters? basi choreni akina mesi na miti kwenye pepa zenu afu tujenge hoja kuwa haiwezekani watu wote wa masters kufeli
nani kakwambia wameandika bongo fleva. Ujue mi nilikuwa mwalimu shule ya sekondari shume najua uwezo wa wanafunzi. Jaman kufeli wanafunz msishangilie. Nakumbuka shule nzima tuliluwa walimu wawili. Unatarajia nin. Elimu ya siasa ndo matnkeo yake.
 
Siamin kama 60% ya wanafunz ni bomu. Pia shule za serikali ndo zimeharibu balaa. Iundwe tume irudie kusahihisha mitihani mana nchi hi imekuwa ya kukomoana.

unachukua masters open! Umefanya research! Kabla ya kuhoji matokeo ungetueleza watahiniwa waliandaliwaje, ndio ushangae matokeo. Mitihani imesahihishwa na walimu haohao waliowafundisha. Kurudia marking kupoteza fedha ya umma.
 
Tena sio hao tu hadi waliopata division four nao ni bomu. Wanafunzi hawasomi kazi yao kubwa kwenda disco,facebook,bbm kusoma magazeti ya udaku na kusikiliza radio mbao

kwa iyo unataka kuniambia wote waliofeli walikua wanakesha facebook na kwenye madisco?
 
nani kakwambia wameandika bongo fleva. Ujue mi nilikuwa mwalimu shule ya sekondari shume najua uwezo wa wanafunzi. Jaman kufeli wanafunz msishangilie. Nakumbuka shule nzima tuliluwa walimu wawili. Unatarajia nin. Elimu ya siasa ndo matnkeo yake.
sasa mpaka wanaandika bongo fleva ni kwamba hawana cha kuandika, sababu ni nyingi, hiyo ya uchache wa walimu nayo sio hasa sababu kubwa. sababu ninayoijua mimi ni hizi. Mgomo baridi wa walimu...kwani kuna shule hapa tanga zina walimu wa kutosha hata darasa moja wanakuwa walimu wawili lakini kuna zero zaid ya 200 ,na four chache,so huwezi sema ni uchache wa walim kwani hata mashule yenye walimu bado wamefeli vizuri tu. serikali ilipe walimu vzr ione kama kutakuwa na mass failure kama hii. hata ng'ombe anatoa maziwa mengi akilishwa pumba za kutosha...hakuna mwalimu ambaye yupo tayari kutumia nguvu na akili kwa vijihela vya bamia. walimu wanafundisha kwa kadri wanavyolipwa....ni kama PAYE kwa tra
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…