Sunshow
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 1,140
- 395
Unaweza ukaondoa mtihani kuanzia darasa la kwanza hadi chuo kikuu lakini ni je unapata nini mwisho wa siku. Kiukweli mtihani unasaidia kusoma kwa bidii.
Miaka ya nyuma tulikuwa na mtihani wa darasa la nne na bila kufaulu mtoto alikuwa haendi la tano. Wakati huo haikuwa rahisi kwa asiyejua kusoma na kuandika kuvuka hatua hii.
Leo hii baada ya kuondoa mtihani wa darasa la nne, tunashuhudia mtoto anafika darasa la saba bila kujua kusoma na kuandika vivyo hivyo kwa mfumo huu tutegemee wasiojua kusoma na kuandika hadi kidato cha nne.
Miaka ya nyuma tulikuwa na mtihani wa darasa la nne na bila kufaulu mtoto alikuwa haendi la tano. Wakati huo haikuwa rahisi kwa asiyejua kusoma na kuandika kuvuka hatua hii.
Leo hii baada ya kuondoa mtihani wa darasa la nne, tunashuhudia mtoto anafika darasa la saba bila kujua kusoma na kuandika vivyo hivyo kwa mfumo huu tutegemee wasiojua kusoma na kuandika hadi kidato cha nne.