Mtihani wa geography wafutwa!!

Ni kitu kimoja kibaya sana na ambacho nilimweleza Dr Mapunda nilipouona kwa mara ya kwanza mtihani uliovuja 1987.Elimu ni namba moja na bila elimu taifa halipo.Taifa bila elimu ni sawa na upofu.Hutaenda popote mpaka ushikwe mkono.
 
Huko baraza la mitihani hamna kitengo maalumu knichomonitor utolewaji wa mitihani?Swali lingine la kuuliza jee ni baraza ama mashule yenye headmaster wasroho wa fedha?
He!we kevo,hicho kitengo huko NECTA kikidhibiti watoto na watoto wa watoto wao wafaulu vipi?na mashemeji zao je?Hata 'madedimasta' pia wale wapi wakati mishahara yenyewe ya ubabaishaji.Tanzania kila kitu ubabaishaji.Hata wale ambao wamefaulu vizuri na wangepaswa kwenda nje ili warudi na utaalamu wamejazana pale UDSM na Mzumbe.Nafasi zao wale watoto wa wakubwa walishapewa hata kabla matokeo kutoka.It doesnt matter what you know but Whom you know
 
Ieleweke kwamba siikatai elimu yetu hata kidogo.But system inatuua and we real need experts.Juzi nilikuwa pale kuna mwanafunzi finalist fourth year hata kujieleza kwa kingereza hawezi! Na akinyimwa ajira,malalamiko.SOMETHING MUST BE DONE
 
Mzee wa Gumzo; hizi habari zilitolewa na nani; maana ni habari ambayo baada ya kazi niliitegemea badala yake ni kitu tofauti kabisa; kama mtu huna taarifa za maana kwanini udanganye umma huu wote; hii sijapenda andika kitu ambacho una uhakika nao; Mzee wa gumzo kili kuwa ulidanganya jana kuhusu hii habari sasa usamehewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…