Sasa utakuwa nifanye mtihani wa Kenya ilihali sijasoma Kenya, kumbuka syllabus ya Kenya ni tofauti na ya Tanzania.
Hizi ni baadhi ya Mitihani ya Kenya Kidato cha Nne. Jee, Kwa maoni yako ni rahisi kushinda uliyofanya na ungeweza pata Maki ngapi?
Ni Mtihani wa 2013 wala sio 2014. Kwa kuwa wengi hapa JF ni waswahili, Tuanze na Kiswahili Paper 1 ni Insha, Paper 2 ni Lugha, na Paper 3 ni Fasihi
INAFANANA NA HII
Tar 1/11/2014 Wanafunzi Wa Mwaka Wa Kwanza Wote Wa SUA tumefanya mtihani wa kiingereza
(utaratibu uliowekwa na chuo kama ukifeli utafundshwa hadi ufauru,ukifauru husomi hilo somo) cha kushangaza kati ya wanafunzi waliofeli yumo mzungu ila sidhani kama anatoka uingereza.
mimi nimeipenda kwanza wanavyotenganisha, inamupa mwanafunzi muda wa kutosha na kufikiri katika jambo moja
lakini huku kwetu vitu vyote wanaviweka katika mtihani mmoja.
Kiswahili ni lugha yangu ya kila siku ila hiki kiswahili cha kwenye huu mtihani anakiweza Bakita tu.