Mtihani wa kesho huu hapa!!

Mtihani wa kesho huu hapa!!

Kigarama

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2007
Posts
2,492
Reaction score
1,230
kutokana na watu humu ndani kudai kwamba mitihani imekuwa inavuja kila mwaka na kilichobadilika ni aina ya teknolojia inayotumika kuivujisha,nimeamua kuweka mtihani Historia wa taifa wa kidato cha nne utakaofanyika kesho ili kwamba kila mwenye kuuhitaji basi ajipakulie hapa, asije akafeli bure!!

Kitu!!

1. Why did British adopt indirect rule system in their colonies?
2. Explain the factor of the rise and consolidation of the centralized states in different African societies
3. how did the outbreak of World War I and world War II intensify the rise of nationalism in Africa
4. Describe various methods used in the establishment of colonial economy
5. explain the factor of exploitation in mode of production in Africa around 15th Century
6. Political instability is inevitable to Africa. Verify this statement and measures taken to prevent them
7. Factors of abolition of slave trade
8. how did USA support the decolonization of African colonies
9. In which way colonial education destroy African culture
10. Effective mass education maintained resistance against colonialism .Discuss
11. Discuss form and the motive of African nations reaction against colonial occupation

And then there is a map on which a candidate needed to spot the East Africa costal cities historical Sites and answer the Questions about African resistance against Colonialism and who was involved
 
Duuh, kweli dunia imebadilika!!!! What an audacious attempt..... 😕
 
Duuh, kweli dunia imebadilika!!!! What an audacious attempt..... 😕
Ah!

Mi nachoka kweli! Mtu anaweza kuchukulia huu ni utani lakini yawezekana kwa asilimia kubwa huu ndio ukweli...

OMG!
 
kutokana na watu humu ndani kudai kwamba mitihani imekuwa inavuja kila mwaka na kilichobadilika ni aina ya teknolojia inayotumika kuivujisha,nimeamua kuweka mtihani Historia wa taifa wa kidato cha nne utakaofanyika kesho ili kwamba kila mwenye kuuhitaji basi ajipakulie hapa, asije akafeli bure!!

Kitu!!

1. Why did British adopt indirect rule system in their colonies?
2. Explain the factor of the rise and consolidation of the centralized states in different African societies
3. how did the outbreak of World War I and world War II intensify the rise of nationalism in Africa
4. Describe various methods used in the establishment of colonial economy
5. explain the factor of exploitation in mode of production in Africa around 15th Century
6. Political instability is inevitable to Africa. Verify this statement and measures taken to prevent them
7. Factors of abolition of slave trade
8. how did USA support the decolonization of African colonies
9. In which way colonial education destroy African culture
10. Effective mass education maintained resistance against colonialism .Discuss
11. Discuss form and the motive of African nations reaction against colonial occupation

And then there is a map on which a candidate needed to spot the East Africa costal cities historical Sites and answer the Questions about African resistance against Colonialism and who was involved

Nashukuru kwa jitihada hizi za kufichua uovu huu. Sasa tunaomba anaeweza amtumie Katibu Mkuu wa Baraza la Mitihani kwa email. Ikiwezekana mwingine mwenye hiyo pepa aifanyie scanning atuwekee yote hapa nzima.
 
Duh,ngoja kesho tuone.Hah! Kama itakua hivi au ukiwa huu huu basi kwa nguvu zote nitajitolea kuhakikisha Maghembe na Ndalichako wanaipata fresh.
 
Duh,ngoja kesho tuone.Hah! Kama itakua hivi au ukiwa huu huu basi kwa nguvu zote nitajitolea kuhakikisha Maghembe na Ndalichako wanaipata fresh.

mimi sichapi mitihani lakini huu nimeupata kutoka Source sita tofauti za mikoa minne ya nchi yetu. Mara ya kwanza nilipata wa Civics nikajaribu kuwapigia PCCB nikaona kimya,ulipofanyika walioufanya wakasema ni wenyewe.

baadaye nikapewa wa Kiswahili na Geography na yote ikawa yenyewe na huu nimepewa jana na aliyenipa alinionyesha hadi ramani iliyopo kwenye mtihani wenyewe. Huwezi kuamini alikuwa na original printed paper ya geography kabla ya mtihani kufanyika!!
 
kutokana na watu humu ndani kudai kwamba mitihani imekuwa inavuja kila mwaka na kilichobadilika ni aina ya teknolojia inayotumika kuivujisha,nimeamua kuweka mtihani Historia wa taifa wa kidato cha nne utakaofanyika kesho ili kwamba kila mwenye kuuhitaji basi ajipakulie hapa, asije akafeli bure!!

Kitu!!

1. Why did British adopt indirect rule system in their colonies?
2. Explain the factor of the rise and consolidation of the centralized states in different African societies
3. how did the outbreak of World War I and world War II intensify the rise of nationalism in Africa
4. Describe various methods used in the establishment of colonial economy
5. explain the factor of exploitation in mode of production in Africa around 15th Century
6. Political instability is inevitable to Africa. Verify this statement and measures taken to prevent them
7. Factors of abolition of slave trade
8. how did USA support the decolonization of African colonies
9. In which way colonial education destroy African culture
10. Effective mass education maintained resistance against colonialism .Discuss
11. Discuss form and the motive of African nations reaction against colonial occupation

And then there is a map on which a candidate needed to spot the East Africa costal cities historical Sites and answer the Questions about African resistance against Colonialism and who was involved

hayo maswali yamenifanya vidole vitoke jasho tamaa ya kuanza kudiscuss ikinifunika kama ukungu! Hivi hakuna maswali mengine maana haya ndiyo tuliyoyafanya miaka ile... msiniambie bado maswali ni yale yale!
 
mimi sichapi mitihani lakini huu nimeupata kutoka Source sita tofauti za mikoa minne ya nchi yetu. Mara ya kwanza nilipata wa Civics nikajaribu kuwapigia PCCB nikaona kimya,ulipofanyika walioufanya wakasema ni wenyewe.

baadaye nikapewa wa Kiswahili na Geography na yote ikawa yenyewe na huu nimepewa jana na aliyenipa alinionyesha hadi ramani iliyopo kwenye mtihani wenyewe. Huwezi kuamini alikuwa na original printed paper ya geography kabla ya mtihani kufanyika!!

Do me a favor, scan the front page ONLY and post it here, kama huwezi then scan it, send a copy to invisible@jamiiforums.com and I will promptly bring it here... Otherwise inatuwia ngumu kuamini hii habari, ni serious sana kiasi inaweza kupelekea watu kumwaga unga wao!
 
Shukrani sana. naomba kujua tutajuaje kama ni wenyewe huu hapo kesho. Kwa sababu wizara inasema papers zinazombaa ni feki. Naomba ikiwa ni yenyewe mtuarifu please. This will be the reason to cancell mtihani wote na hao jamaa wakubali kujiuzulu
 
MMh mbona hiyo format ya maswali ya kujieleza (normally section B) huwa haina maswali 15? hata language na aina ya maswali ni "utata" kidogo... Im not rulling out anything but mmmhh haya....
 
Sasa hivi nimetuma email kwa katibu mtendaji wa NECTA kwenye anwani esnecta@necta.go.tz. Mnaoweza hebu fanyeni hivi labda itamstua huyu mama kuelewa kuwa haya mambo yanawakera watu na wanayafuatilia kwa ukaribu.
 
Do me a favor, scan the front page ONLY and post it here, kama huwezi then scan it, send a copy to invisible@jamiiforums.com and I will promptly bring it here... Otherwise inatuwia ngumu kuamini hii habari, ni serious sana kiasi inaweza kupelekea watu kumwaga unga wao!

Kabisa mkuu,

Na hili ndilo la kufa nalo hivi na PCB si walitoa namba yao hadharani? Je,ya IGP?
 
MMh mbona hiyo format ya maswali ya kujieleza (normally section B) huwa haina maswali 15? hata language na aina ya maswali ni "utata" kidogo... Im not rulling out anything but mmmhh haya....

Safari hii hata english haikuwa na structure maswali yote yalikuwa ni kujieleza
 
Hivi ni Taifa gani tunajenga???.................Damn
 
kutokana na watu humu ndani kudai kwamba mitihani imekuwa inavuja kila mwaka na kilichobadilika ni aina ya teknolojia inayotumika kuivujisha,nimeamua kuweka mtihani Historia wa taifa wa kidato cha nne utakaofanyika kesho ili kwamba kila mwenye kuuhitaji basi ajipakulie hapa, asije akafeli bure!!

Kitu!!

1. Why did British adopt indirect rule system in their colonies?
2. Explain the factor of the rise and consolidation of the centralized states in different African societies
3. how did the outbreak of World War I and world War II intensify the rise of nationalism in Africa
4. Describe various methods used in the establishment of colonial economy
5. explain the factor of exploitation in mode of production in Africa around 15th Century
6. Political instability is inevitable to Africa. Verify this statement and measures taken to prevent them
7. Factors of abolition of slave trade
8. how did USA support the decolonization of African colonies
9. In which way colonial education destroy African culture
10. Effective mass education maintained resistance against colonialism .Discuss
11. Discuss form and the motive of African nations reaction against colonial occupation

And then there is a map on which a candidate needed to spot the East Africa costal cities historical Sites and answer the Questions about African resistance against Colonialism and who was involved

Nasikia kichefu chefu...!
 
Safari hii hata english haikuwa na structure maswali yote yalikuwa ni kujieleza

Duh,siku hizi hawafuati ile format tena? Na kama wali-change wanafunzi waliarifiwa au kazi kuvuruga exaination format kiholela tu?
 
Kama ni kweli hii inatisha kweli kweli. Mtumieni JK hayo maswali, ubabaishaji umezidi. Mrudisheni prof. Mmari baraza la mitihani hata kama ni kwa part time ili aokoe jahazi.

Taifa kweli liko njia panda.
 
Back
Top Bottom