we acha tu ndugu yangu. Tunazidi kuteseka tu, maisha yanapanda, taaabu ndio usiseme.Tanzania zaidi ya unavyoijua........... Unapokua na viongozi vilaza wakiongozwa na Rais kilaza lazima utegemee hayooooooo @ Apollo....
<br />Jana nimesoma gazeti fulani eti wameshusha wastan wa kufaulu..badala ya 31% umekuwa 25% kisa watu wengi wanashindwa kupass kwa kiwango hicho.. Hawa jamaa wanafikiria kwa .........! Haiwezekani watumie mbinu hiyo kusuluhisha. Mimi nilitegemea wangefanya jitihada wanafunzi wafaulu sasa wamepunguza kiwango cha kufaulu..hivi wanawajenga wanafunzi au wanawabomoa? <img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/frown.gif" border="0" alt="" title="Frown" smilieid="256" class="inlineimg" /> :-x
shine, . 🙂 inabidi tubadilike..tubuni njia mbadala kutatua matatizo sio kuyaongeza.<br /><br />
<br /><br />
Ndo akili zetu waafrika zilivyo badala yakutatua tatizo tunaongeza tatizo juu yake
&lt;br /&gt;<br /><br />We unataka wa feli form2 ili waende wapi?. Mazingira mabovu. Waacheni watoto wasome kwa starehe bana.
<br />Tanzania zaidi ya unavyoijua........... Unapokua na viongozi vilaza wakiongozwa na Rais kilaza lazima utegemee hayooooooo @ Apollo....
daah mkuu au kwakua ushapita na ni productive...................mna wao wanaeza wakapita lakin sio productiveWe unataka wa feli form2 ili waende wapi?. Mazingira mabovu. Waacheni watoto wasome kwa starehe bana.
<br /><font size="3">daah mkuu au kwakua ushapita na ni productive...................mna wao wanaeza wakapita lakin sio productive</font>
&Na wewe unatetea uozo!ama kweli i doubt kama wote tulio humu ni great thinkers, average ya 30 kwanza ni ndogo sana bora ipande iwe 40 kwanini ulazimishe kitu wakati kiko nje ya uwezo wako?kama shule imemshinda labda kuna kitu kingine anaweza kufanya kuliko kumpotezea muda wake shuleni,hata wastani ungeshushwa hadi 10% bado wangefeli na wangedai wastani bado mkubwa ni bora kuwa na wanafunzi 100 wenye akili kuliko kuwa na matutusa/vilaza/viazi/maboga 100000 yaliyovaa uniform ambavyo waziri anajivunia kuwa ni wanafunzi,inaboa sana mi nasema kila siku &amp;quot;MTU HAJAWAHI KUWA HATA MONITOR AKIWA PRIMARY SCHOOL KWA WATOTO WENZIE LEO ATAWEZA KUWA WAZIRI WA NCHI YENYE MAMILIONI YA WATU?&amp;quot; leadership is a talent na si wote tunaweza kuwa leaders ila kwa kuwa viongozi wachache ni wabishi na ili hali ethics za uongozi hawana wao wanakomaa hivyohivyo pia ukiuliza,eti namfahamu muache na yeye akae hapo ale kidogo,tubadilike taifa letu linapotea
kwa hiyo unaona bora wanafunzi na sio wanafunzi bora? Tunajenga tunabomoa?We unataka wa feli form2 ili waende wapi?. Mazingira mabovu. Waacheni watoto wasome kwa starehe bana.
Tutakuwa tunataniana, 25%?Jana nimesoma gazeti fulani eti wameshusha wastan wa kufaulu..badala ya 31% umekuwa 25% kisa watu wengi wanashindwa kupass kwa kiwango hicho.. Hawa jamaa wanafikiria kwa .........! Haiwezekani watumie mbinu hiyo kusuluhisha. Mimi nilitegemea wangefanya jitihada wanafunzi wafaulu sasa wamepunguza kiwango cha kufaulu..hivi wanawajenga wanafunzi au wanawabomoa? 🙁 :-x
kwa bahati mbaya ndugu yangu, ninatumia mobile kwa sasa, ningekupa hiyo link. Mimi imenisikitisha sana.Tutakuwa tunataniana, 25%?