Kwa Tanzania lolote laweza kutokea wala sishangai sana.Mtihani wa kidato cha pili, umemalizika kwa shule zilizo nyingi Tanzania. Mengi yamegundulika wakati wote wa mtihani lakini kubwa zaidi ni pale wanafunzi walipoonekana wameuchapa usingizi kwenye chumba cha mtihani na kudai kwamba kutakuwa na msamaha wa raisi.Lingine ni mitihani inasafirishwa kwa bodaboda bila ulinzi wowote ule
Mkuu ni 30 marks.Hivi kwa sasa kiwango cha kufaulu kwa kidato cha pili ni ngapi