last weekend nilimkuta naibu waziri mr Philip Mulugo kwenye duka moja la madawa pale sinza vatcan nikamuuliza kuhusu hilo jambo,alinipasha kwa mwakani hana uhakika.pia alilalama ya kwamba dr kawamba(undergraduate frm udsm) ndiye aliyeshikilia bango hiyo hoja bila kutazama ni vipi wanafunzi na vyuo vitasalimika
hapa sijakuelewa mdau,,,,,,why he call him self Dr?????