Battery low
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 315
- 27
mkuu kwa hiyo ina maana sisi tutakuwa form 6 mwez wa 3? :behindsofa:Ni kweli kwa sababu baraza la mitihani limetangaza njia mpya ya kusahisha mitihani imetangazwa na katibu mkuu wa baraza la mitihani kwa mitihani ya 4m6 na 4 so njia hiyo itanza kujaribiwa kwa mitihani ya wizara ambayo form 4 wa nafanya dis tym na frm 6 n mwakan mwez huo
Mock mwezi wa 2 na Necta wa 5 kama kawaida. Hakuna kinachobadilika.