Battery low
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 315
- 27
wakuu nasikia hizi tetesi kua form 5&6 tutafanya mitihani ya mock na necta mwezi wa 2 kutokana na mambo mbalimbali serikalini mfano uchaguzi! na je kama tutafanya mwez wa 2 mtihani utatoka katika format ya Kawaida? maana mitihani ya mock na necta si inafanywa mwezi wa 5.