Mbu... Umejichongea mwenyewe rafiki.... Umemdefine kwa Mlimbwende.... that means akuvutia in one way or another and you do appreciate urembo wake.... (as a man); For ungemchukulia kawa ungesema nimepewa zawadi na mdada.....lol... Wala mie simo Lakini... Vipi ushapata Utatuzi?
Kongosho... Reading between the lines... Mbu is so ready kumpa kimwana zawadi, anaomba tu ushari ili atoe zawadi perfectooo...lol
kama kakupa zawadi si lazima na wewe umpe
kwani mnalipana?
Utampa siku nyingine ukiwa na nafasi ya kufanya hivyo
kama ni a real friend ataelewa.
kama kakupa zawadi si lazima na wewe umpe
kwani mnalipana?
Utampa siku nyingine ukiwa na nafasi ya kufanya hivyo
kama ni a real friend ataelewa.
Kongosho kwani weye waitafsiri vipi zawadi?
mtu atayekupa zawadi huwajibiki kumzawadia pia, chochote?
hii sikukuu ya krismasi ina tafsiri moja kubwa, kuzaliwa kwa Jesus...lakini kwa wengi inatafsiri
zaidi ya hiyo mf; wachagga kurudi milimani kuhesabiwa,....
...huku ugenini maana yake kubadilishana zawadi!
...halafu dada'ngu wewe wajua kwenye kesi za usuluhishi nakutegemea?...hebu mswalie mtume bana,
soulmate hapendi.
Mine just arriving
LOL.. haki nimecheka kwa sauti.. Huyu wa kwako Mbu mie napendekeza mnunulie Marashi, wadada wengi huwa tunapenda hiyo zawadi.
lol....yasijemkuta yaliyonikuta!
LOL.. haki nimecheka kwa sauti.. Huyu wa kwako Mbu mie napendekeza mnunulie Marashi, wadada wengi huwa tunapenda hiyo zawadi.
...lol...wewe ushatuma ngapi, kwa wangapi?
Nitamptaia tu japo ingekuwa na thamani kama ningekupatie wewe mwenyewe, nataraji utatumia busara kupokea mwenyewe kama ulivyoikubali na kusema asante in advance, BTW nimekuaadd kwenye list of my sistas after Afrodenzi na Desihahaha.... Eltoro... Asante Mkuu.
Hata hivo anakuja mtu on my behalf
huko PM.... Naomba mpe tu na umuamini.
Happy Festive Greetings...
hehehe...ati ee?....nishauri manukato gani basi, nisijenunua kituko mie...nimebakiza masaa
machache ya kujibu mapigo ujue!
Nitamptaia tu japo ingekuwa na thamani kama ningekupatie wewe mwenyewe, nataraji utatumia busara kupokea mwenyewe kama ulivyoikubali na kusema asante in advance, BTW nimekuaadd kwenye list of my sistas after Afrodenzi na Desi
Eltoro nivavopenda zawadi... Naja sasa hivi ila naomba uwe umeiandaa nisikae saana maana sidhani kama mimi kuna haja ya kuja enjoy the coke side of you....lol...