Mtikila Adai Kakobe ni Nabii wa Uongo, Amtaka Akae Kimya !!!

Mtikila Adai Kakobe ni Nabii wa Uongo, Amtaka Akae Kimya !!!

Kakobe si mtu wa kuamini sana ingawa anaitumia biblia na kufanya miujiza mingi. Kuna mengi yanatufanya tusimwamini yeye ingawa tunakubaliana na yale anayofundisha. Maana neno la Mungu li hai nalo lina nguvu.
Naomba Mungu amsaidie pia na kumponya na kiburi (proud) maana Mungu anachukizwa na hili pia.
Watu wa Mungu tuwe makini. Kakobe atapeleka wengi jehanamu, hata wasiokuwa wa kanisa lake.


MKUU MCHUKIA FISADI HALLEEEEEEEEYUUUUUUUUUUUUUUUUAAAAAAAAAAA
KWANZA UABARIKIWE NA BWANA WAONEKANA MTU WA KIROHO....
BIBLIA INASEMA NA ALAANIWE AMTEGEMEAE BINADAMU....NA HAPO HAPO BIBLIA IANSEMA TUWAAMINI MANABII ,WATUMISHI NA MITUME ....KAMA UNAKUMBUKA ELISHA ALIPELEKEWA MKOMA MMOJA ALIPOFIKA YULE MWENYE UKOMA ALIKUWA NA HELA AKAAMBIWA AKAJICHOVYE KWENYE MTO MARA SABA WENYE MATOPE...AKA KATAA..AKIWA NJIANI MJAKAZI WAKE AKAMUHIMIZA NDIPO ALIPOENDA KUFANYA ALIYOAMBIWA ..ALIPOPOONA ALIENDA KUTAFUTA SADAKA KUBWAAAA NA KUMPELEKEA ELISHA ...ELISHA ALIZIKATAA NA KURUDI NAZO..ILA ALIKTAA SABABU KWANZA HAKUWA NA IMANI NA ELISHA NDIO MAANA AKUTAKA KUPOKEA ...MAANA KUNA MAMA MWINGINE ALIMTENDEA MIUJIZA AKAWA ANAKULA KWAKE KILA MARA....NINI MAANA YANGU TUNAITAJI KUAMINI WATUMISHI WA MUNGU NA SI KUFANYAYALE WANAYOFANYA..........KWELI KAKOBE NI KAMA WATUMISHI WENGINE ,SIKATAI NI BINADAMU ANA MAPUNGUFU YAKE ...MI NILICHOKUWA AMA NIACHOPENDA NI WEWE JE UMEITAYARISHAJE ROHO YAKO BAADA YA KUFA;AMA SIKU YA MWISHO MAANA BIBLIA INATUAMBIA HATUTALALA WOTE.......NDUGU YANGU NA WENGINE WOTE MNAOSOMA jf

kama UNATAKA KWENDA MBINGUNI NJIA NI MOJA TU

KUOKOKA

2WAKORINTHO 6:2 INASEMA ""KWA MAAANA ASEMA WAKATI ULIOKUBALIKA NALIKUSIKIA SIKU YA WOKOVU NAKUSAIDIA;TAZAMA WAKATI ULIOKUBALIKA NDIO SASA SIKU YA ((WOKOVU NDIO ((SASA)) MPENDWA HAKUNA WOKOVU BAADA YA KUFA...NANI AMEKWAMBIA MI NITAENDA KUTUBU UKO KWA MUNGU WAEBRANIA 9:27 INASEMA KAMA VILE WANAVYOWEKEWA KUFA MARA MOJA NA BAADA YA KUFA ((HUKUMU)) TENGENEZA MAISHA YAKO SASA......BADILISHA MAISHA YAKO SASA.....UKISHAKUFA INAYOBAKIA NI HUKUMU TU WACHA KUJIDANGANYA NA DINI ULIOKUWEPO NA KANISA UNALOSALI NA MCHUNGAJI ANAEKUHUDUMIA...TENGENEZA MAISHA YAKO SASA

HAWA WATUMISHI SIKATAI WANAMAKOSA YAOOOO LAKINI MI NAWASHAURI MWACHIENI MUNGU AWAFINYE KWENYE KONA KWA MUDA WAKE....NAKWAMBIA UKWELI HATA KAMA KAKOBE AMEKOSA KAMA MUNGU ALIPANGA ROHO YAKE KUWEPO MBINGUNI SIKU YA MWISHO ATAKUWA HUKO.......TAZAMA WENGI WANAWASEMA WATUMISHI OOOOOOOOOOOOHHHHH WANAKULA HELA ZA SADAKA ....ZA MICHANGO.....SOMA MALAKI 3:11 ANASEMA NAMI NITAMUDHIBU YULE ALAE HEKALUNI MWANGU........
HAKUNA SEHEMU ILIOANDIKWA MWANADAMU AMUADHIBU MCHUNGAJI....NI MUNGU ATASEMA NAO NYIE MSIWE NA WASIWASI WE TENGENEZA MAISHA YAKO KWANZA AMENNIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII JINA LABWANA LIBARIKIWE

SHALOM

Pdidy,
Kwanza nakili nimeokolewa na Bwana Yesu mwenyewe.
Na mimi nakubaliana na wewe kwa sehemu kubwa.
Mungu atusaide kujua haya.
Amen.
 
wengi walimjua Kakobe na habaro walizo nazo ni zile ziliandikwa na magazeti ya Shigongo wakati ana bifu naye,. Lakini leo hapa JF tumeona Magazeti ya Shigongo yalivyoleta madhara kwa watu mbali mbali, Je, Tuzidi kuamini zile habari za Kakobe kuwavua wanawake dhahabu? Mimi nasema hata mahakama mtu hutoa ushahidi wa lile alilowahi kuioona au kusikia yeye mwenyewe, sio kuambiwa! Sasa watu ambao hamjawahi kuwakaribu na Kanisa la Kakobe mnayajuaje yanayoteokea huko Ndani? Mimi sio Mfuasi wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship, lakini nakiri kuwa niemshiriki ibada mara nyingi sana kwenye kanisa hili, sio Dar tu hata Mikoani,. Naweza kushuhudia yale niliyoyaona, na kamwe sitashuhudia lile ambalo sikuliona kwa macho yangu, tujiangalie sana, Kuwaonyoshea mikono watumishi wa MUNGU kwa tuhuma zisizo za kweli Biblia Imakataza!!!
 
....WEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE HUYOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
NGOJA NIWAAMBIE CHANZO CHA KUJIITA MCHUNGAJI.......
MTIKILA ALIKUWA ANASALI KANISA MOJA LILILOKUWA LIKIABUDU PALE SHULE YA JAMHURI 90'S BAADA YA HAPO ALIKUWEPO MCHUNGAJI WA HILO KANISA AMBAE ALIKUWA ANASAFIRI MARA KWA MARA USA...BADA YA KUONA HIVYO MTIKILA AKAANZA KUHOJI UKO NJE UNAEDNA KILA SIKU KUHUSU KANISA MBONA UTUPI FEEDBACK....LINGINE LILOMKIMBIZA HILO KANISA MWEKA HAZINA ALIKUWA MKE WA MCCHUNGAJI WATU WAKAFUMBWA MACHO KABISA ...ALIPOANZA KUHOJI AKAAMBIWA KAMA UNAHOJI UHALALI WA HILI KANISA KIMBIA NA USIONEKANE KANISANI...HAPO NDIPO ALIPOKAA N A WATUMISHI BAADHI AKAWAKOMNVVINCE JAMANI HAPA MCHANGA WA MACHO...AKAENDA NAE KUANZISHA KANISAA LILE LIE LINAITWA FULLSALVATION CHURCH...BAADA YA HAPO JAMAA NAE AKAANZA KULA PESA ZA SADAKA WASHARIKA WAKAKIMBIA NDIPO FILAMU YA UCHUNGAJI WA MTIKILA ULIPOISHIA....ANYAWAY ALISOMA NYAKATI MAANA BAADAE HILO KANISA ATI LIKAITWA ARKFOUNDANTION CHURCH...KISA TU KULIKUWA NA SPONSER MMOJA ALIKUWA MAREKANI ANATOA MSAADA SO MISAADA INAINGIA WATUMISHI HAWAIONI...
Mkuu naifaham ARK FOUNDATION aFRIKA, halijawahi kuanzishwa wala kuhudumiwa na Mtikila. Jamaa makao makuu yapo marekani na wanatoha huduma kwa marginalized children hasa wale ambao wameathiriwa kwa namna moja au nyingine na UKIMWI. nilishawahi kuwa volunteer wa shirika lile ila wakiwa wanatoa huduma za kijamii wala hawabagui watu kwa udini wao. Mara ya mwisho walikuwepo nyuma ya ubalozi wa USA na walikuwa wanajiandaa kuhamia kigamboni na wanalo tawi kule Kibamba ambapo pia wameanzisha shule ya vidudu.
Niliwahi kuongea na mkrugenzi mkazi wa ArkFoundation Ms Rhoi Kaima alisema anamfaham Mtikila na hawana hamu naye maana aliwaingiza mkenge kutokea marekani.
 
Japo ninamuunga mkono Rev Mtikila la kusema kuwa Kobe-mdogo ni mzushi na anawalakini katika dili lake la kutumia biblia, hata hivyo si-muungi mkono kuhusu DECI. Nadhani Rev anataka ku-support hii DECI kwa kuwa imebuniwa na wachungaji wenzake, lakini kitaalamu hana hoja sana ya kuisemea DECI. Hivi, kweli Mungu anaweza kuwaletea watu "kamali" kwa jina la DECI. Maana hata kamali pia unapanda na kuvuna, na wakati mwingine mbegu haioti kabisa.
 
Lakini kakobe anavyoubiri (TV) kuna "flow of Logic" ukilinganisha na wenzie wengi, anajitayarisha na kutoa kitu sahihi. Lakini baadhi ya Shuhuda za wauminini wake ni utata / usanii mtupu.
 
Back
Top Bottom