Mzee wa Gumzo
Senior Member
- Apr 21, 2008
- 197
- 5
Katika hatua nyingine ya mlolongo wa matukio ya kushangaza kumhusu Mtikila,Mchungaji huyo amekanusha waraka uliosomwa ITV kuwa haukuwa wake.
Hata hivyo chakushangaza zaidi Mtikila amemtuhumu Rais Kikwete, jeshi la polisi na Usalama wa Taifa.Taarifa hiyo ya Mtikila haikuweza kurushwa hewani kutokana na maneno na kauli zake kutoweza kuvumilika masikioni na.
Binafsi nimeyasikia maneno ya Mtikila na haiwezi kuingia akilini kuwa Mtikila anaweza kuwa mzima wa akili.
kuna kila sababu ya kuamini kuwa Mtikila anatumia siasa kucheza na akili za watanzania kwa kuwa haiingii akilini kuwa anaweza kutoa shutuma nzito kwa maneno mabaya kiasi hicho kwa ongozi wa nchi na vyombo vya dola ambavyo awali alivitegemea kwa ulinzi.Amehamisha asira zake kutoka CHADEMA kwenda kwa serikali.
Hivoi bado tunamwamini Mtikila???
Hata hivyo chakushangaza zaidi Mtikila amemtuhumu Rais Kikwete, jeshi la polisi na Usalama wa Taifa.Taarifa hiyo ya Mtikila haikuweza kurushwa hewani kutokana na maneno na kauli zake kutoweza kuvumilika masikioni na.
Binafsi nimeyasikia maneno ya Mtikila na haiwezi kuingia akilini kuwa Mtikila anaweza kuwa mzima wa akili.
kuna kila sababu ya kuamini kuwa Mtikila anatumia siasa kucheza na akili za watanzania kwa kuwa haiingii akilini kuwa anaweza kutoa shutuma nzito kwa maneno mabaya kiasi hicho kwa ongozi wa nchi na vyombo vya dola ambavyo awali alivitegemea kwa ulinzi.Amehamisha asira zake kutoka CHADEMA kwenda kwa serikali.
Hivoi bado tunamwamini Mtikila???