Unajidanganya sana na wabeba matofali usijaribu kugombana na Rwanda utaaibika vibaya sana na Jao wabeba matofali wako kagame Sasa hivi hamumuwezi
Akili zenu huwa ni za kidwanzi sana kutwa kucha kujitutumua tu kwa maneno kama wanawake wanaosutana.
Sasa kwa kuwa mnajiona mna jeshi kubwa ndio mpange kutuvamia kwa tamaa ya kujitanua?
Mmebaguana kwa mambo ya kipumbavu eti kisa huyu ana pua ndefu anapaswa kutawala, na yule ana pua fupi anatakiwa kutawaliwa, huyu mfupi siyo mwenzetu na huyu ni mrefu apewe cheo. Ujinga wa kubaguana ndio mnatamba nao hadi mnatemeana mate.Nyinyi ni washenzi wa tabia na hamfai kuishi kwenye ulimwengu wa watu waliostaarabika.
Watanzania ni wapole hata tukichukua eneo la nchi yao hawana cha kutufanya, siye ndio wababe East Africa,the Jews of East Africa. Really seriously??
Mkilianzisha kwa huo upumbavu wenu siye tutafunga mipaka,mnyukane mpaka mlane nyama za miili yenu,hatutaki makazi holela kwenye nchi yetu.Tumechoka kuhifadhi vimtu vinavyoharibu nchi zao kwa tamaa za chuki za kikabila na tamaa za madaraka.
Nimeona nikujibu ili umpelekee huyo bwana wako huu ujumbe.
"Nenda kamwambie hivi mkakati wa kuivamia Tanzania uko kwenye file la rangi ya khaki yenye kamba ndogo,na hiyo Operation inaanzia na herufi M123,,,,,....."
Tunajua anachokipanga.
Lakini nawaonyeni msije mkadhani ni rahisi sana kama mnavyofikiri, siku zote anayeanzisha ugomvi huwa anaonekana mbaya,ila anayelipiza kisasi ndiye huwa mbaya zaidi.
Unakumbuka mwaka 1996 mlivyojidanganya mnaenda kwa ndugu zenu Somalia, mlitokea BENACO kama siyo RUSUMO kwa miguu mkakamatiwa Burigi Game Reserve (sasa hivi ni Burigi National Park)eneo la Kasindaga, mkarudishwa kwa miguu na mijeledi juu?
Unakumbuka mama zenu walivyokuwa wanajifungulia njiani kisha wanaambiwa nyanyuka beba mtoto wako tembea, vipigo,vifo, mvua, jua na baridi vilikuwa ni sehemu ya maisha yenu?
Mnakumbuka mlivyofika Njiapanda ya Lusahunga na Biharamulo mjini mlivyochana chana hela za Kitanzania kwasababu ya hasira baada ya kujua mnarudishwa mlikotoka,maana mwanzo mlidanganywa kuwa mnapelekwa Somalia mkisindikizwa na JWTZ,? Tena mlikuwa mmletewa Makarandiga ya jeshi ila mkadeka kwa kukataa kuyapanda.
Wanajeshi wakasema ngoja tuwadekeze vizuri, mliokuwa mmeshapanda mkashushwa chini kisha mkaambiwa chapa lapa,tembea mpaka mlikotoka.
Mara hii mmesahau? Mlikuwa hampendi kabisa kuishi karibu na ule mto maana mnakumbuka ambavyo mlikuwa mnawachoma watu kama mishikaki halafu mnawarusha kwenye mto Kagera,ila nyinyi aisee ni kiboko,hiyo roho mlibarikiwa na shetani mweyewe, sisi Watanzania hatuna huo uthubutu.
Unajua kwanini mlitaka kuondoka Tanzania?
Mlifanya hivyo kwasababu ya kutotaka kwenda kuishi karibu na mipaka ya nchi yenu maana hamkuitamani kutokana na kile mlichofanyiana wenyewe kwa wenyewe kwenye kanchi kenu kadogooooo!!!!
Yaani tuliwapa hifadhi katika nchi yetu halafu mkajidanganya kwamba muondoke Tanzania kwasababu sisi hatufananii na nyinyi eti mnafanana na Wasomali kwahiyo heri mwende Somalia, tena kwa miguu, halafu mnajionaga mna akili sana,kwahiyo ukubwa wa akili zenu ni kubaguana, kwenda Somalia kwa miguu,hamkujua kama kuna nchi nyingine ya Kenya? Jeshi lenu kama ni kubwa ndio lifanye kazi ya kuwabagua raia wake?
Nakwambia hivi,hata sasa wapo baadhi ya Majenerali na Viongozi waandamizi waliochoshwa na haya mambo ambao wako kinyume na huyo mfalme wenu wa kunyonya damu za Wakongo kwa tamaa ya mali za jirani zake.Ni suala la muda tu.
Mna roho ngumu sana,hamna huruma kwa watoto wenu,mama zenu na wezee wenu.Hiyo ya 1994-1997 ,sasa hivi itakuwa cha mtoto.
Brigedia General Marco G,na Mkuu wa Kagera mama Fatuma Mwassa juzi wamesema mkoa na mipaka yake uko vizuri,salama na wako timamu hali ni shwari.
Unajua maana yake we 'NANGA?'
Nimekujibu,si kwasababu umeandika kitu cha maana la hasha,bali nimetaka ujumbe wangu uwafikie hapo makao makuu yenu.File tunalijua.
"Jishebedueni kama mgema ili tembo alitie maji."
Endeleeni.Kupanga ni kuchagua, hamisheni hata jiwe moja,rusheni hata tufe moja lilete madhara kwa wananchi ili tupate sababu.
Mkirusha msije mkasingizia waasi,mseme kabisa ni nyinyi, unakumbuka lile la mwaka 2018 au 2019 lililoonekana halina madhara likaachwa liangukie majini kwenye Ziwa Victoria? Mnadhani halikuonekana kwenye king'amuzi?
Mnapenda uchokozi na ugomvi wakati hamuuwezi. Waooneeni huruma watu wenu.
The Magnificent 7seven.
25.02.2025.
16:17 PM.