Mtikila: Kagame amepenyeza Wanyarwanda 35,000 Tanzania, Burigi, katika Wilaya ya Muleba

Mtikila: Kagame amepenyeza Wanyarwanda 35,000 Tanzania, Burigi, katika Wilaya ya Muleba

Moja ya mapindikizi yake vyuoni tz yupo saut ..mwaka wa tatu..mwingine ni cr na wanapenda madaraka na wanajitangaza kwa ribon mikononi na matshirt ya rwanda kama shamba la bibi yao ukiwauloiza sisi wabongo...lkiz rwanda...na waa urwanda rwanda na ubaguzi fulani hiviiii
Ndo hawa Naibu Waziri Mkuu Biteko maana kasoma SAUTI na wengine wamejazana Mgodini Bulyanhulu kupitia Biteko wakati akiwa waziri wa Madini
 
Watu huwa wanapuuza weeh.

2015 mkampa mhutu, Mtikila akafariki 2015.

2024 CDF kaliongelea..

Unaweza kumuua mtu ila mawazo yake huwezi kuyaua yatabaki kuishi.

Na sasa je hakuna jawabu licha ya CDF kuongea tu hivi karibuni?
Mimi Samia mwenyewe simuamini yawezekana naye yupo kwenye mfumo wa kufanikisha hilo...mfano unamteuaje Biteko kuwa Naibu waziri mkuu,mimi nafanya kazi mkoa wa geita,watusi wanaumoja wa hatari sana wakishirikiana na Biteko na Mfanyabiashara anaitwa Inyasi,wamejazana mgodini Bulyanhulu,na wanakuwa na vikao vyao vya siri
 
Mimi Samia mwenyewe simuamini yawezekana naye yupo kwenye mfumo wa kufanikisha hilo...mfano unamteuaje Biteko kuwa Naibu waziri mkuu,mimi nafanya kazi mkoa wa geita,watusi wanaumoja wa hatari sana wakishirikiana na Biteko na Mfanyabiashara anaitwa Inyasi,wamejazana mgodini Bulyanhulu,na wanakuwa na vikao vyao vya siri
Humu kuna kiongozi mmoja wa jeshi wa Rwanda , siku kaonekana kwenye habari moja humu.

Kuna mdau alisema huyo jamaa anamjua sana na alikuwa akienda Kahama kama mnunuzi kwa bei ya jumla zao la karanga na alijitambulisha kwa jina tofauti hivyo yule mdau alipigwa na butwaa nitausaka ule uzi nione kama bado upo.
 
Huyu jamaa ni kama mnamvimvisha kichwa, anaijua vizuri Tanzania.
Kwamba auchukue Mkoa wa Kagera? Hawezi.
Siku zote adui huwa anatafuta mahali palipo na udhaifu anapitia hapo hapo kukushinda. Jambo la msingi ni kuwa makini naye hasa ukishamjua.

Sasa hivi ni nini kinaendelea Mashariki mwa Congo?

Jeshi la Congo na Rais wao hata hawajielewi wafanye nini kukomboa nchi yao,miji inachukuliwa tu.Kwa Tanzania kama tupo imara kama usemavyo, na iwe heri siku zote.
 
MAKONGO NI MASHENZI MAPUMBAFU SANA.


RWANDA INAINGIA MALA 90 YA UKUBWA WA KONGO LAKINI YALIVYOKUWA MAPUMBAVU YANAPIGALWA NA KUCHAKAZWA NA KA RWANDA.


LILILOMUUA MTIKILA NI HILI ANDIKO.
 
MAKONGO NI MASHENZI MAPUMBAFU SANA.


RWANDA INAINGIA MALA 90 YA UKUBWA WA KONGO LAKINI YALIVYOKUWA MAPUMBAVU YANAPIGALWA NA KUCHAKAZWA NA KA RWANDA.


LILILOMUUA MTIKILA NI HILI ANDIKO.
Hawa jamaa ni watu wa ajabu sana kutwa kucha ni kuimba,kukata viuno na kupaka mikorogo.

Kuna mmoja wamemuua majuzi wamemkuta studio akirecord nyimbo, japo alikuwa anaimba nyimbo za kuishutumu M23 na Serikali yao. Naweza kumpa hongera alijaribu kupaza sauti.

Ila wananchi wengi hawana uchungu na nchi yao kabisa,ndio mana wanapenda kuishi Ulaya na Marekani.
 
Ni muda muafaka kwa Tanzania kuandaa mtu mwingine wa kuitawala Rwanda kwasababu huyu bwana amelewa madaraka anaweza kufanya chochote ambacho hatajutia wakati huo huo watu wengi wanaumia.

Wanyarwanda wengi hawana shida na Tanzania na ukanda wa maziwa makuu,shida iko kwa Kagame na uongozi wake.

Kwanini ninasema hivi,kuna Wanyarwanda waliishi Tanzania tangu enzi za uhuru bila shida wala ugomvi wowote;lakini huyu bwana baada ya kuingia madarakani alijiona bingwa wa Intelijensia,anajua kutawala,anahitaji eneo kubwa la kutawala,yale yale ya Hitler kwa Wanazi,akawaingiza Wanyarwanda walioko ndani ya Rwanda na nje ya Rwanda kufanya upelelezi wa nchi wanazoishi kwa niaba yake, akawajaza ujinga kwamba wao ni bora kuliko watu wengine,kwamba wao wamezaliwa kutawala na siyo kutawaliwa. (Achana na ile dhana ya ukoloni),nazungumzia uongozi wa Kagame.

Hii iliwaletea shida Wanyarwanda waliokuwa hawana hatia maana walibadili mitazamo yao kwa ndugu,jamaa na marafiki zao wasiokuwa Wanyarwanda,hii ikapelekea chuki,ugomvi,dharau na ubaguzi hata wengine kufukuzwa nchini.

Nitaandika kisa kimoja hapa.

Kuna Mnyarwanda mmoja alikuwa anaishi sehemu mojawapo ya mkoa wa Kagera, alikuwa na ng'ombe wengi tu,alikuwa amehodhi eneo kubwa la kijiji.Aliishi vizuri sana na majirani zake.

Siku moja wananchi wakahitaji sehemu ya eneo hilo ili wajenge shule kwa ajili ya watoto wao wa hapo hapo kijijini,hata yeye watoto wake wangesoma pale maana shule zilikuwa mbali kidogo.

Jamaa kumueleza huo mpango,akagoma.Serikali ya Kijiji ikalazimisha ikalichukua hilo eneo kwa nguvu.Ikajenga shule kwa ushirikiano wa wananchi. Jamaa akaenda Mahakamani.

Mahakama ikaamuru kesi. Akashindwa.Hakuridhika, akakata rufaa. Serikali ikaona huyu analeta usumbufu, ikaamua kesi kibabe.

Yaani mtu siyo raia, hana kibali cha kumiliki ardhi,hana uhalali wa kuishi nchini,amepewa hifadhi tu,anaombwa kistaarabu halafu analeta ujuaji wa kijinga.

"Saa 12 jioni ndio ilikuwa mwisho wa kuonekana kwa wake zake na watoto wake na mifugo yake."

Kwahiyo huyu Kagame amelewa mvinyo wa madaraka,amewalevya Wanyarwanda mvinyo wa kiburi na majivuni, ili kuwasaidia Wanyarwanda wasiokuwa na hatia kuumia zaidi na huu mzozo,ni heri yeye aondoke kwa usalama wa ustawi wa Rwanda na Wanyarwanda wema wasiokuwa na hatia.

Nitawaambia kitu.Hivi ninavyoandika, jamaa ameandaa mpango wake wa kuivamia Tanzania, anataka kuanzisha movement mbili.

Moja itaanzia eneo la Kaskazini mwa mkoa wa Kagera, yaani kutokea maeneo ya Kyerwa, Misenyi,Kyaka, Bunazi na Bukoba Mjini (anaitaka Bandari ya Bukoba). Halafu aichukue Biharamulo.

Halafu nyingine itaanzia maeneo ya Magharibi kuja Rusumo hadi Lusahunga ili akutane na kikosi kilichotokea Kaskazini, ajiandae kwenda mbele zaidi.

Ngoja niwaambie kitu nyinyi vibaraka wake ambao mpo humu, mfikishieni salamu zake,kwamba ataachwa aje lakini hatavuka Lusahunga, atakachokutana nacho hata hako ka mkoa kake anakoringia hataweza kukatazama na kukatamani tena,maana hasira za Watanzania hazitakuwa na msamaha wala kujali mahali pa kupiga.

Hii inanikumbusha Ujerumani ya Hitler,alisema nipeni Ujerumani kwa miaka 10, na hamtaikumbuka tena.Na kweli Ujerumani ilijengwa ikawa na nguvu za kiuchumi na Kijeshi,akaanza majigambo,dharau,kiburi,majivuno na kujitanua kimaeneo kwa kuvamia majirani zake lakini mwisho mwa utawala wake nchi yake ilibaki magofu.

Ule msemo wake wa kutokuikumbuka tena ulitimia maana haikutamanika kwa jinsi ilivyochakazwa na Urusi na Washirika wa Marekani kwa mabomu hadi nchi yote ikabaki magofu.

Siandiki haya kwa kumtisha, la hasha,bali kuwaonya, msije mkaaharibiwa halafu mseme hamkuonywa. Na msifikiri mipango yake haijulikani,na msifikiri Watanzania wote ni wajinga hawamjui, na msifikiri tunamchukia kwa lolote,la hasha,aishi kwa kuheshimu mipaka ya wenzake,asijione ana akili sana kuliko wengine. Akilazimisha atawaumiza watu wake.

"Kwanini yote haya? Shida ni Kagame,kuliko kuingia kote huko ni heri huyu mtu amkabidhi mwingine kwa kuepusha maafa kwa nchi nzima ya Rwanda kwa kutokuangamia."

Na huyu atakayechaguliwa lazima ajue Tanzania ni nani,lazima awe anajua kwamba siku akijisahau naye ataondolewa, lazima awe na heshima kwa wakubwa zake waliomuweka madarakani. Asijisahau alipotoka.

"Kinyago hakiwezi kumbwekea wala kumtisha aliyekichonga."

Baada ya hapo mchakato wa kuungana na Burundi uendelee ili amani ya Congo ipatikane na kudumu,Wakongo waishi ndani ya nchi yao kwa amani.

"Wabillah Wa Tawfiq"

Magnificent 7seven.

Jumapili njema.

02.02.2025

11:17.A.M.
Umeandika ngonjera nyingi ila wewe huna jeshi la kumpiga kagame Sasa hivi
 
Ngoja niongezee tena kidogo hapa.

Huyu jamaa akilala anaota Bahima Empire,akiamka anaamka na ndoto ya Bahima Empire, anashinda anawaza kujitanua tu.

Sasa iko hivi;kama ataweza kuichukua mikoa ya Kagera na Kigoma,maana yake atakuwa amemzunguka Burundi, wakati huo huo amemzunguka Uganda.

Mzee Museven anaweza kudhani yuko pamoja na mwenzake,lakini ukweli ni kwamba akiipata hii mikoa miwili,tayari anakuwa ameshafanikiwa pakubwa, hata Uganda itaingia kwenye himaya yake,na wala si kwa Museven.

Kumbuka hapo atakuwa na eneo kubwa la Mashariki ya Kongo,ana madini,ana watu,atatengeneza jeshi imara ambalo atakuja nalo kuishambulia Tanzania.

Tanzania haitaweza kupigana naye kwa muda mrefu maana atapata msaada mkubwa kwa hao mabwana zake,si anashrikiana nao kupora madini ya Kongo? Watamlinda tu maana wao wanaangalia maslahi tu.

Lengo la kuitaka Tanzania ni rasilimali zetu, pamoja na eneo la kimkakati la Bandari,kwahiyo moyo wake na mawazo yake ni Tanzania.

Wazalendo tuko macho, tunaonyeshwa anachokipanga, tunauona moyo wake kwa kile anachokiwaza. Hana mawazo mazuri juu ya nchi yetu,hata tukilazimisha urafiki naye bado atataka kutenda alilolidhamiria ndani ya moyo wake.

Ndio maana nasisitiza ya kwamba usalama wa Burundi ni kutengeneza mahusiano mazuri ya kiundugu na Tanzania,halafu mchakato wa kumuondoa madarakani uendelee.

Hili sitalinyamazia katika maisha yangu yote.Kama litaniangusha wacha nianguke nalo,na kama litashinda basi tutashinda wote,watu wote wenye mapenzi mema na mstakabari wa wapendao amani ndani ya maeneo ya maziwa makuu.

"But enough is enough, the man must go,I don't care if he gets down or he leaves the field."

Huwezi kujiona una akili nyingi kuwashinda wengine wakati huo huo unataabisha maelfu ya watu kwa maslahi yako binafsi.

Lazima kifanyike kitu kama nchi ili hizi dharau za hawa makenge wake wanaoshinda wanajisifiwa upumbavu na kuibeza JWTZ na nchi hapa Jamvini washike adabu.

Huyu bwana huwa ni mtu wa kukurupuka, halafu baadaye anakuja kuomba msamaha huku ameshaharibu taswira ya nchi, kipindi kile cha JK haikutakiwa kumsamehe, ona sasa yanayoendelea sasa hivi.

Muda wake umefika, amkabidhi mwingine,uwezo wake wa kutawala umefika kikomo, ang'atwishwe madarakani kwa nguvu.

Kama kuna mtu anabisha kwa haya ninayosema, au anahisi ni uzushi tu,watu waingine kazini tu watamuona.

Maana amepanga ile mbinu ya "Blitzkrieg" ya enzi ya Hitler, kufanya mashambulizi ya haraka haraka pasipo adui kujiandaa na kumkamata hapo hapo na kumkalia.

Ndio maana anataka kuishtukiza Kagera na Kigoma, halafu Burundi, then ataenda Uganda. Mzee Museven kaa chonjo.

Hivi kwanini sisi Tanzania huwa hatuwachokozi majirani zetu?

Kwasababu sisi tupo kwa ajili ya kuwalinda na kuwasaidia wanyonge, sasa jichanganyeni mje mkione cha moto.

Hakutakuwepo cha kusema mnaua watoto na wanawake. Wewe kama ulijua una wanawake na watoto wasioweza kujilinda kwanini uvamie wengine wakati nao wana wanawake na watoto wao?

Kama hutaki wa kwako wafe, kiherehere cha nini kuua wengine? Ili amani iwepo, tuishi kwa kuheshimiana. Hakunaga mbabe wa vita daima. Na mchokozi huwa anashindwa kwa aibu kubwa.

Propaganda za wanazi wake hawataweza kushinda,japo wamejitahidi kuwajaza ujinga baadhi ya vijana wa Kitanzania naona wanamshangilia na kumuona mwamba, ila ni jani la muwa linaloteketea kwa moto.

Rai yangu kwa Wanyarwanda msikubali kuamini maneno yake kwamba yeye ndiye zaidi kwa wote waishio maeneo ya maziwa makuu,anawadanganya,mkikubali mtaharibiwa vibaya mno.

"Upole wetu Watanzania usitafsiriwe kama ujinga." Mnaishi vizuri na sisi kwasababu tunawaonea huruma hamna nchi kubwa ya kuishi na mifugo yenu,sasa ondoeni wazo la kuitawala Afrika Mashariki. Ndoto zenu bakini nazo mioyoni mwenu.

Mipango yenu bakini nayo kwenye makabrasha yenu kwa maana hili wazo halitakaa litokee kamwe,fanyeni maendeleo ya nchi yenu na siyo kuwaza kusogeza kigingi cha ardhi isiyokuwa ya kwenu.

Nimewaonya. Mkikaidi, kitakachowakuta msimlaumu yeyote, kwasababu mmejitaabisha wenyewe na mmelipwa stahiki zenu.

Ahsanteni.
Unajidanganya sana na wabeba matofali usijaribu kugombana na Rwanda utaaibika vibaya sana na Jao wabeba matofali wako kagame Sasa hivi hamumuwezi
 
Unajidanganya sana na wabeba matofali usijaribu kugombana na Rwanda utaaibika vibaya sana na Jao wabeba matofali wako kagame Sasa hivi hamumuwezi
Akili zenu huwa ni za kidwanzi sana kutwa kucha kujitutumua tu kwa maneno kama wanawake wanaosutana.

Sasa kwa kuwa mnajiona mna jeshi kubwa ndio mpange kutuvamia kwa tamaa ya kujitanua?

Mmebaguana kwa mambo ya kipumbavu eti kisa huyu ana pua ndefu anapaswa kutawala, na yule ana pua fupi anatakiwa kutawaliwa, huyu mfupi siyo mwenzetu na huyu ni mrefu apewe cheo. Ujinga wa kubaguana ndio mnatamba nao hadi mnatemeana mate.Nyinyi ni washenzi wa tabia na hamfai kuishi kwenye ulimwengu wa watu waliostaarabika.

Watanzania ni wapole hata tukichukua eneo la nchi yao hawana cha kutufanya, siye ndio wababe East Africa,the Jews of East Africa. Really seriously??

Mkilianzisha kwa huo upumbavu wenu siye tutafunga mipaka,mnyukane mpaka mlane nyama za miili yenu,hatutaki makazi holela kwenye nchi yetu.Tumechoka kuhifadhi vimtu vinavyoharibu nchi zao kwa tamaa za chuki za kikabila na tamaa za madaraka.

Nimeona nikujibu ili umpelekee huyo bwana wako huu ujumbe.

"Nenda kamwambie hivi mkakati wa kuivamia Tanzania uko kwenye file la rangi ya khaki yenye kamba ndogo,na hiyo Operation inaanzia na herufi M123,,,,,....."

Tunajua anachokipanga.

Lakini nawaonyeni msije mkadhani ni rahisi sana kama mnavyofikiri, siku zote anayeanzisha ugomvi huwa anaonekana mbaya,ila anayelipiza kisasi ndiye huwa mbaya zaidi.

Unakumbuka mwaka 1996 mlivyojidanganya mnaenda kwa ndugu zenu Somalia, mlitokea BENACO kama siyo RUSUMO kwa miguu mkakamatiwa Burigi Game Reserve (sasa hivi ni Burigi National Park)eneo la Kasindaga, mkarudishwa kwa miguu na mijeledi juu?

Unakumbuka mama zenu walivyokuwa wanajifungulia njiani kisha wanaambiwa nyanyuka beba mtoto wako tembea, vipigo,vifo, mvua, jua na baridi vilikuwa ni sehemu ya maisha yenu?

Mnakumbuka mlivyofika Njiapanda ya Lusahunga na Biharamulo mjini mlivyochana chana hela za Kitanzania kwasababu ya hasira baada ya kujua mnarudishwa mlikotoka,maana mwanzo mlidanganywa kuwa mnapelekwa Somalia mkisindikizwa na JWTZ,? Tena mlikuwa mmletewa Makarandiga ya jeshi ila mkadeka kwa kukataa kuyapanda.

Wanajeshi wakasema ngoja tuwadekeze vizuri, mliokuwa mmeshapanda mkashushwa chini kisha mkaambiwa chapa lapa,tembea mpaka mlikotoka.

Mara hii mmesahau? Mlikuwa hampendi kabisa kuishi karibu na ule mto maana mnakumbuka ambavyo mlikuwa mnawachoma watu kama mishikaki halafu mnawarusha kwenye mto Kagera,ila nyinyi aisee ni kiboko,hiyo roho mlibarikiwa na shetani mweyewe, sisi Watanzania hatuna huo uthubutu.

Unajua kwanini mlitaka kuondoka Tanzania?

Mlifanya hivyo kwasababu ya kutotaka kwenda kuishi karibu na mipaka ya nchi yenu maana hamkuitamani kutokana na kile mlichofanyiana wenyewe kwa wenyewe kwenye kanchi kenu kadogooooo!!!!

Yaani tuliwapa hifadhi katika nchi yetu halafu mkajidanganya kwamba muondoke Tanzania kwasababu sisi hatufananii na nyinyi eti mnafanana na Wasomali kwahiyo heri mwende Somalia, tena kwa miguu, halafu mnajionaga mna akili sana,kwahiyo ukubwa wa akili zenu ni kubaguana, kwenda Somalia kwa miguu,hamkujua kama kuna nchi nyingine ya Kenya? Jeshi lenu kama ni kubwa ndio lifanye kazi ya kuwabagua raia wake?

Nakwambia hivi,hata sasa wapo baadhi ya Majenerali na Viongozi waandamizi waliochoshwa na haya mambo ambao wako kinyume na huyo mfalme wenu wa kunyonya damu za Wakongo kwa tamaa ya mali za jirani zake.Ni suala la muda tu.

Mna roho ngumu sana,hamna huruma kwa watoto wenu,mama zenu na wezee wenu.Hiyo ya 1994-1997 ,sasa hivi itakuwa cha mtoto.

Brigedia General Marco G,na Mkuu wa Kagera mama Fatuma Mwassa juzi wamesema mkoa na mipaka yake uko vizuri,salama na wako timamu hali ni shwari.

Unajua maana yake we 'NANGA?'

Nimekujibu,si kwasababu umeandika kitu cha maana la hasha,bali nimetaka ujumbe wangu uwafikie hapo makao makuu yenu.File tunalijua.

"Jishebedueni kama mgema ili tembo alitie maji."

Endeleeni.Kupanga ni kuchagua, hamisheni hata jiwe moja,rusheni hata tufe moja lilete madhara kwa wananchi ili tupate sababu.

Mkirusha msije mkasingizia waasi,mseme kabisa ni nyinyi, unakumbuka lile la mwaka 2018 au 2019 lililoonekana halina madhara likaachwa liangukie majini kwenye Ziwa Victoria? Mnadhani halikuonekana kwenye king'amuzi?

Mnapenda uchokozi na ugomvi wakati hamuuwezi. Waooneeni huruma watu wenu.

The Magnificent 7seven.
25.02.2025.
16:17 PM.
 
Mtikila alikuwa Gwiji wa sheria.
Alikuwa Afisa kipenyo alie iva Tiss.

Huu walaka Uliandaliwa na Idara ya usalama wa Taifa Tiss.
Mtikila alibebeshwa kama chambo na alikunja hela Ndefu.

Walaka Ulipita kwenye kila Media kila Gazeti kila Radio nk
Bifu kali la Jk na Pk ndio likapamba moto

Wanyarwanda Tutsi (wahamiaji Haramu) walitafutwa kila kona ya Nchi na kurudishwa makwao.

Jk alishinda VITA.
ILA ALISHINDWA KUMLINDA MTIKILA.
 
Akili zenu huwa ni za kidwanzi sana kutwa kucha kujitutumua tu kwa maneno kama wanawake wanaosutana.

Sasa kwa kuwa mnajiona mna jeshi kubwa ndio mpange kutuvamia kwa tamaa ya kujitanua?

Mmebaguana kwa mambo ya kipumbavu eti kisa huyu ana pua ndefu anapaswa kutawala, na yule ana pua fupi anatakiwa kutawaliwa, huyu mfupi siyo mwenzetu na huyu ni mrefu apewe cheo. Ujinga wa kubaguana ndio mnatamba nao hadi mnatemeana mate.Nyinyi ni washenzi wa tabia na hamfai kuishi kwenye ulimwengu wa watu waliostaarabika.

Watanzania ni wapole hata tukichukua eneo la nchi yao hawana cha kutufanya, siye ndio wababe East Africa,the Jews of East Africa. Really seriously??

Mkilianzisha kwa huo upumbavu wenu siye tutafunga mipaka,mnyukane mpaka mlane nyama za miili yenu,hatutaki makazi holela kwenye nchi yetu.Tumechoka kuhifadhi vimtu vinavyoharibu nchi zao kwa tamaa za chuki za kikabila na tamaa za madaraka.

Nimeona nikujibu ili umpelekee huyo bwana wako huu ujumbe.

"Nenda kamwambie hivi mkakati wa kuivamia Tanzania uko kwenye file la rangi ya khaki yenye kamba ndogo,na hiyo Operation inaanzia na herufi M123,,,,,....."

Tunajua anachokipanga.

Lakini nawaonyeni msije mkadhani ni rahisi sana kama mnavyofikiri, siku zote anayeanzisha ugomvi huwa anaonekana mbaya,ila anayelipiza kisasi ndiye huwa mbaya zaidi.

Unakumbuka mwaka 1996 mlivyojidanganya mnaenda kwa ndugu zenu Somalia, mlitokea BENACO kama siyo RUSUMO kwa miguu mkakamatiwa Burigi Game Reserve (sasa hivi ni Burigi National Park)eneo la Kasindaga, mkarudishwa kwa miguu na mijeledi juu?

Unakumbuka mama zenu walivyokuwa wanajifungulia njiani kisha wanaambiwa nyanyuka beba mtoto wako tembea, vipigo,vifo, mvua, jua na baridi vilikuwa ni sehemu ya maisha yenu?

Mnakumbuka mlivyofika Njiapanda ya Lusahunga na Biharamulo mjini mlivyochana chana hela za Kitanzania kwasababu ya hasira baada ya kujua mnarudishwa mlikotoka,maana mwanzo mlidanganywa kuwa mnapelekwa Somalia mkisindikizwa na JWTZ,? Tena mlikuwa mmletewa Makarandiga ya jeshi ila mkadeka kwa kukataa kuyapanda.

Wanajeshi wakasema ngoja tuwadekeze vizuri, mliokuwa mmeshapanda mkashushwa chini kisha mkaambiwa chapa lapa,tembea mpaka mlikotoka.

Mara hii mmesahau? Mlikuwa hampendi kabisa kuishi karibu na ule mto maana mnakumbuka ambavyo mlikuwa mnawachoma watu kama mishikaki halafu mnawarusha kwenye mto Kagera,ila nyinyi aisee ni kiboko,hiyo roho mlibarikiwa na shetani mweyewe, sisi Watanzania hatuna huo uthubutu.

Unajua kwanini mlitaka kuondoka Tanzania?

Mlifanya hivyo kwasababu ya kutotaka kwenda kuishi karibu na mipaka ya nchi yenu maana hamkuitamani kutokana na kile mlichofanyiana wenyewe kwa wenyewe kwenye kanchi kenu kadogooooo!!!!

Yaani tuliwapa hifadhi katika nchi yetu halafu mkajidanganya kwamba muondoke Tanzania kwasababu sisi hatufananii na nyinyi eti mnafanana na Wasomali kwahiyo heri mwende Somalia, tena kwa miguu, halafu mnajionaga mna akili sana,kwahiyo ukubwa wa akili zenu ni kubaguana, kwenda Somalia kwa miguu,hamkujua kama kuna nchi nyingine ya Kenya? Jeshi lenu kama ni kubwa ndio lifanye kazi ya kuwabagua raia wake?

Nakwambia hivi,hata sasa wapo baadhi ya Majenerali na Viongozi waandamizi waliochoshwa na haya mambo ambao wako kinyume na huyo mfalme wenu wa kunyonya damu za Wakongo kwa tamaa ya mali za jirani zake.Ni suala la muda tu.

Mna roho ngumu sana,hamna huruma kwa watoto wenu,mama zenu na wezee wenu.Hiyo ya 1994-1997 ,sasa hivi itakuwa cha mtoto.

Brigedia General Marco G,na Mkuu wa Kagera mama Fatuma Mwassa juzi wamesema mkoa na mipaka yake uko vizuri,salama na wako timamu hali ni shwari.

Unajua maana yake we 'NANGA?'

Nimekujibu,si kwasababu umeandika kitu cha maana la hasha,bali nimetaka ujumbe wangu uwafikie hapo makao makuu yenu.File tunalijua.

"Jishebedueni kama mgema ili tembo alitie maji."

Endeleeni.Kupanga ni kuchagua, hamisheni hata jiwe moja,rusheni hata tufe moja lilete madhara kwa wananchi ili tupate sababu.

Mkirusha msije mkasingizia waasi,mseme kabisa ni nyinyi, unakumbuka lile la mwaka 2018 au 2019 lililoonekana halina madhara likaachwa liangukie majini kwenye Ziwa Victoria? Mnadhani halikuonekana kwenye king'amuzi?

Mnapenda uchokozi na ugomvi wakati hamuuwezi. Waooneeni huruma watu wenu.

The Magnificent 7seven.
25.02.2025.
16:17 PM.
Rwanda anataka ajitanue ila karata ya Tz ni ngumu sana kuiwin asee tena ni ngumu mno itamgharim pakubwa
 
Mtikila amesambaza Waraka unaomtuhumu Kagame Kusambaza Wanyaranda 35,000 katika Tz na ameitaka serikali kuchukua hatua!!!

Ni jambo la Kushangaza Gvt inatumia Nguvu nyingi kulinda mpaka wa Malawi na Tanzania lakini Wamemwacha Kagame na Mseveni wakipenyeza Wanyarwanda 35,000 na wamehesabiwa katika sensa huku wakiendelea kuwatesa Raia!

Ni Ujinga mkubwa kuona kwamba Wanyarwanda wengi wameshaghushi Vyeti vya uraia na wengine wameanzisha makanisa kama alivyo Askofu Mulileghe Mkombo Kutoka DRC lakini Serikali badala ya kushughulika na Watu hao , inageuka na kuwatesa viongozi wa dini wanao pinga ufisadi ndani CCM na kuwakumbatia watu kama Mkombo ati kwa sababu anaombea viongozi wa Kitaifa!!!

Suala la kujiuliza ni Watanzania wangapi wanaweza kwenda Rwanda na kushika madaraka ra Serikali ya Rwanda na kuingiza mifugo huku wakitukana serikali ya Kagame???
Kama Wahutu wenye uraia wa Rwanda wamenyongwa kwa kuanzisha vyama vya upinzani sembuse Watanzania kuishi Rwanda???

Serikali itazame jambo hili kwa makini ikifikia Kagame na Joyce Banda wakaungana tunaweza kupata matatizo Makubwa!!!
Soma Waraka Wake Hapa:
Alale perma peponi mwamba nimemkumbuka mbali sana alianzisha Kanisa la full salvation church pale shule ya buguruni enzi hizo akamvuta mamamdogo na wengine tukaanza kutoa sadaka zetu loh

Hivi mkewe mama Georgia yupo pande zipi??
 
Akili zenu huwa ni za kidwanzi sana kutwa kucha kujitutumua tu kwa maneno kama wanawake wanaosutana.

Sasa kwa kuwa mnajiona mna jeshi kubwa ndio mpange kutuvamia kwa tamaa ya kujitanua?

Mmebaguana kwa mambo ya kipumbavu eti kisa huyu ana pua ndefu anapaswa kutawala, na yule ana pua fupi anatakiwa kutawaliwa, huyu mfupi siyo mwenzetu na huyu ni mrefu apewe cheo. Ujinga wa kubaguana ndio mnatamba nao hadi mnatemeana mate.Nyinyi ni washenzi wa tabia na hamfai kuishi kwenye ulimwengu wa watu waliostaarabika.

Watanzania ni wapole hata tukichukua eneo la nchi yao hawana cha kutufanya, siye ndio wababe East Africa,the Jews of East Africa. Really seriously??

Mkilianzisha kwa huo upumbavu wenu siye tutafunga mipaka,mnyukane mpaka mlane nyama za miili yenu,hatutaki makazi holela kwenye nchi yetu.Tumechoka kuhifadhi vimtu vinavyoharibu nchi zao kwa tamaa za chuki za kikabila na tamaa za madaraka.

Nimeona nikujibu ili umpelekee huyo bwana wako huu ujumbe.

"Nenda kamwambie hivi mkakati wa kuivamia Tanzania uko kwenye file la rangi ya khaki yenye kamba ndogo,na hiyo Operation inaanzia na herufi M123,,,,,....."

Tunajua anachokipanga.

Lakini nawaonyeni msije mkadhani ni rahisi sana kama mnavyofikiri, siku zote anayeanzisha ugomvi huwa anaonekana mbaya,ila anayelipiza kisasi ndiye huwa mbaya zaidi.

Unakumbuka mwaka 1996 mlivyojidanganya mnaenda kwa ndugu zenu Somalia, mlitokea BENACO kama siyo RUSUMO kwa miguu mkakamatiwa Burigi Game Reserve (sasa hivi ni Burigi National Park)eneo la Kasindaga, mkarudishwa kwa miguu na mijeledi juu?

Unakumbuka mama zenu walivyokuwa wanajifungulia njiani kisha wanaambiwa nyanyuka beba mtoto wako tembea, vipigo,vifo, mvua, jua na baridi vilikuwa ni sehemu ya maisha yenu?

Mnakumbuka mlivyofika Njiapanda ya Lusahunga na Biharamulo mjini mlivyochana chana hela za Kitanzania kwasababu ya hasira baada ya kujua mnarudishwa mlikotoka,maana mwanzo mlidanganywa kuwa mnapelekwa Somalia mkisindikizwa na JWTZ,? Tena mlikuwa mmletewa Makarandiga ya jeshi ila mkadeka kwa kukataa kuyapanda.

Wanajeshi wakasema ngoja tuwadekeze vizuri, mliokuwa mmeshapanda mkashushwa chini kisha mkaambiwa chapa lapa,tembea mpaka mlikotoka.

Mara hii mmesahau? Mlikuwa hampendi kabisa kuishi karibu na ule mto maana mnakumbuka ambavyo mlikuwa mnawachoma watu kama mishikaki halafu mnawarusha kwenye mto Kagera,ila nyinyi aisee ni kiboko,hiyo roho mlibarikiwa na shetani mweyewe, sisi Watanzania hatuna huo uthubutu.

Unajua kwanini mlitaka kuondoka Tanzania?

Mlifanya hivyo kwasababu ya kutotaka kwenda kuishi karibu na mipaka ya nchi yenu maana hamkuitamani kutokana na kile mlichofanyiana wenyewe kwa wenyewe kwenye kanchi kenu kadogooooo!!!!

Yaani tuliwapa hifadhi katika nchi yetu halafu mkajidanganya kwamba muondoke Tanzania kwasababu sisi hatufananii na nyinyi eti mnafanana na Wasomali kwahiyo heri mwende Somalia, tena kwa miguu, halafu mnajionaga mna akili sana,kwahiyo ukubwa wa akili zenu ni kubaguana, kwenda Somalia kwa miguu,hamkujua kama kuna nchi nyingine ya Kenya? Jeshi lenu kama ni kubwa ndio lifanye kazi ya kuwabagua raia wake?

Nakwambia hivi,hata sasa wapo baadhi ya Majenerali na Viongozi waandamizi waliochoshwa na haya mambo ambao wako kinyume na huyo mfalme wenu wa kunyonya damu za Wakongo kwa tamaa ya mali za jirani zake.Ni suala la muda tu.

Mna roho ngumu sana,hamna huruma kwa watoto wenu,mama zenu na wezee wenu.Hiyo ya 1994-1997 ,sasa hivi itakuwa cha mtoto.

Brigedia General Marco G,na Mkuu wa Kagera mama Fatuma Mwassa juzi wamesema mkoa na mipaka yake uko vizuri,salama na wako timamu hali ni shwari.

Unajua maana yake we 'NANGA?'

Nimekujibu,si kwasababu umeandika kitu cha maana la hasha,bali nimetaka ujumbe wangu uwafikie hapo makao makuu yenu.File tunalijua.

"Jishebedueni kama mgema ili tembo alitie maji."

Endeleeni.Kupanga ni kuchagua, hamisheni hata jiwe moja,rusheni hata tufe moja lilete madhara kwa wananchi ili tupate sababu.

Mkirusha msije mkasingizia waasi,mseme kabisa ni nyinyi, unakumbuka lile la mwaka 2018 au 2019 lililoonekana halina madhara likaachwa liangukie majini kwenye Ziwa Victoria? Mnadhani halikuonekana kwenye king'amuzi?

Mnapenda uchokozi na ugomvi wakati hamuuwezi. Waooneeni huruma watu wenu.

The Magnificent 7seven.
25.02.2025.
16:17 PM.
ndugu, wala usipoteze muda na watusi, kwanza ni wachache sana, na hawazaliani kwa wingi kama makabila mengine. 1994 walikuwa 14% ya Rwanda, wakati huo wanyarwanda wote walikuwa kama 7m populatioin, wakauawa kama 800,000 hadi 1m, meaning walibaki wachache sana pale rwanda. hao unaowaona wengi walihamia baada ya kimbari, walitoka mataifa mbalimbali walikokuwa wamekimbilia. walitoka Tanzania (ndio maana wapo wengi kule wamesoma hapa hadi chuo), uganda wengi sana, congo, burundi, kenya wengi sana na mataifa mbalimbali. so they still make a very small percentage kule rwanda. hata wakikubagua, wadharau tu na uendelee na maisha yako kwa sababu kwa jinsi wahutu walivyo wengi, muda si mrefu kuna siku watatawala wao na hakuna mtusi atakuja kutawala tena, hapo ndipo utaouona uchache wao.
 
Mtikila amesambaza Waraka unaomtuhumu Kagame Kusambaza Wanyaranda 35,000 katika Tz na ameitaka serikali kuchukua hatua!!!

Ni jambo la Kushangaza Gvt inatumia Nguvu nyingi kulinda mpaka wa Malawi na Tanzania lakini Wamemwacha Kagame na Mseveni wakipenyeza Wanyarwanda 35,000 na wamehesabiwa katika sensa huku wakiendelea kuwatesa Raia!

Ni Ujinga mkubwa kuona kwamba Wanyarwanda wengi wameshaghushi Vyeti vya uraia na wengine wameanzisha makanisa kama alivyo Askofu Mulileghe Mkombo Kutoka DRC lakini Serikali badala ya kushughulika na Watu hao , inageuka na kuwatesa viongozi wa dini wanao pinga ufisadi ndani CCM na kuwakumbatia watu kama Mkombo ati kwa sababu anaombea viongozi wa Kitaifa!!!

Suala la kujiuliza ni Watanzania wangapi wanaweza kwenda Rwanda na kushika madaraka ra Serikali ya Rwanda na kuingiza mifugo huku wakitukana serikali ya Kagame???
Kama Wahutu wenye uraia wa Rwanda wamenyongwa kwa kuanzisha vyama vya upinzani sembuse Watanzania kuishi Rwanda???

Serikali itazame jambo hili kwa makini ikifikia Kagame na Joyce Banda wakaungana tunaweza kupata matatizo Makubwa!!!
Soma Waraka Wake Hapa:
Baada ya waraka huu

Mchungaji Mtikila alifariki alfajiri ya Jumapili 4 Oktoba 2015 kwa ajali ya gari kwenye kijiji cha Msolwa karibu na Chalinze. Tairi zilichomoka.
 
Back
Top Bottom