Mtikisiko wa Usajili: Yanga yasema Jiji kutikisika leo

Inasemekana ni Khalid Aucho kuna upande umebomolewa sana! .
Kama kweli Yanga wamempata huyu mwamba basi wamelamba dume. Jamaa ni mzuri sana kwenye kukaba na kushambulia kwa wakati mmoja na anapenda kucheza mpira wa chini kiasi naamini sasa Yanga itabadilika sana na kuachana na mpira wa kubutua butua.

Simba inabidi sasa wapambane wamrudishe Fraga kwa makataba mfupi hata miezi sita wakimwangalia maendeleo yake ya kiafya au wamtafute kiungo mmoja mrefu hivi mweupe wa AS Vita (jina limenitokaka) ambaye naye ni mwamba sana kwa kazi chafu kati kati ya uwanja.
 
 
Unamaanisha zemanga soze aloifunga goli simba kwa mkapa
Nimemcheki hilo jina ulionipa siyo huyo. Yupo jamaa mmoja mrefu mweupe alipambana sana na Tadeo Lwanga pale dimba lakati kukawa na vita ya kufa mtu ile mechi ya Kinshasa ya CL Simba VS As Vita ambayo Simba walishinda goli 1- 0 kwa penati ya Mugalu
 
Nimemcheki hilo jina ulionipa siyo huyo. Yupo jamaa mmoja mrefu mweupe alipambana sana na Tadeo Lwanga pale dimba lakati kukawa na vita ya kufa mtu ile mechi ya Kinshasa ya CL Simba VS As Vita ambayo Simba walishinda goli 1- 0 kwa penati ya Mugalu
Me naona tangu aondoke james kotei bado cjaona kiungo mkabaji kama yeye tena hapa nchini, siyo lwanga wala fraga! wote wanapelea kwa kotei
 
Jiji limesimama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…