Issuna
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 3,203
- 7,628
Ni ukweli usiopingika Tanzania ina wananchi wengi wa hali ya chini na ili ufanikiwe kuingia mioyoni mwao ni lazima ujishushe chini kabisa mavumbini.
Anachofanya makonda japo ni kwa "Kuiga" si mbaya kuiga mazuri na ndicho afanyacho.
Watanzania wengi tukubali tukatae wanaona wanapuuzwa, ukitaka washika mioyo yao TATUA matatizo yao tena hadharani.
Ndio mana hawakuruhusu mgombea Urais wa kujitegemea asie na chama, la sivyo nina uhakika si CCM wala chama kingine kingeshika Urais.
Wapo watu baki wanasaidia wananchi kwa misaada, matibabu, nk, wananchi wanawapenda sana hawana namna tu. Dr. Mengi angekuepo akaruhusiwa sioni wa kumtoa, na wengine wengi.
Makonda amejua nini wananchi wanahitaji na hii inaonekana kama sarakasi ya kombolela, ila anachofanya Makonda mtaona majibu yake 2025.
Endeleeni kubeza mje mseme CCM wezi wa KURA!
Anachofanya makonda japo ni kwa "Kuiga" si mbaya kuiga mazuri na ndicho afanyacho.
Watanzania wengi tukubali tukatae wanaona wanapuuzwa, ukitaka washika mioyo yao TATUA matatizo yao tena hadharani.
Ndio mana hawakuruhusu mgombea Urais wa kujitegemea asie na chama, la sivyo nina uhakika si CCM wala chama kingine kingeshika Urais.
Wapo watu baki wanasaidia wananchi kwa misaada, matibabu, nk, wananchi wanawapenda sana hawana namna tu. Dr. Mengi angekuepo akaruhusiwa sioni wa kumtoa, na wengine wengi.
Makonda amejua nini wananchi wanahitaji na hii inaonekana kama sarakasi ya kombolela, ila anachofanya Makonda mtaona majibu yake 2025.
Endeleeni kubeza mje mseme CCM wezi wa KURA!