Mtitu na Wema wazichapa msibani

Mtitu na Wema wazichapa msibani

Kuna uzi nautafuta aliutoa amu anataka namba ya Clement kachoka kula vumbii etii hajakupm

Ha ha msengerymmoja shem wenu kaufuta.
Ngoja nitauweka kwa id ingine
 
Last edited by a moderator:
Ana mda nchafu sana wa kupiteza hapa jf ingawa huwa anajitapa anauwezo lakini kwa tabia zake anaonekana hana kazi....

Kutwa kutafuta ligi zisizo na msingi halafu ana IDs kama mchanga...

Kwa ujumla hajielewi....

Mkuu,inamaana Matola ni jobless?
 
Last edited by a moderator:
Ila wema mambo yake,sijui yukoje mbona walivyomsusia kwa babake alilalamika?hajifunzi tu jamani!duh
 
hivi msiba ni ibada ya kutosholezeana, sasa ya nini kupigana....?
 
hivi Steve kwanini ana wafatilia sana hawa mabinti? Hachoki?


Naona alitaka kuwauza kama kawaida yake ya ukuwaidi, Either wamemtajia DAU kubwa na yy hatapata kitu au wamemkatalia awawezi kuuzwa na kikalagosi kama yy, sasa hasira zake ndio tunaona hivyo anavyowafatafata kama NG'OMBE JIKE ALIYEKO KWENYE HEAT (Namaanisha ng'ombe jike anayetaka kupandwa)
 
Back
Top Bottom