Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Kama title inavyosema hapo juu kulingana na performance ya Leo mechi ya Taifa stars vs uganda nmegundua yafuatayo:
1. Ile fighting spirit waliyonayo wachezaji wa Yanga bado imeonekana katika mechi ya Leo Kwa taifa stars
2. Kwa kujituma Kwa hawa wachezaji wa Yanga sina wasiwasi hata pale kocha atabeba kikosi chote cha Yanga kucheza taifa stars ukiondoa wachezaji wa kigeni.
3. Kuna watu walitamani tupoteze mchezo huu....... lakini wananchi wametuokoa.... performance kali ya Mudathir + Dickson job ......na wengine wananchi by origin kama Msuva
NB: Kocha ikikupendeza toa wachezaji wote wa kolo FC except Manula
View attachment 2564127
1. Ile fighting spirit waliyonayo wachezaji wa Yanga bado imeonekana katika mechi ya Leo Kwa taifa stars
2. Kwa kujituma Kwa hawa wachezaji wa Yanga sina wasiwasi hata pale kocha atabeba kikosi chote cha Yanga kucheza taifa stars ukiondoa wachezaji wa kigeni.
3. Kuna watu walitamani tupoteze mchezo huu....... lakini wananchi wametuokoa.... performance kali ya Mudathir + Dickson job ......na wengine wananchi by origin kama Msuva
NB: Kocha ikikupendeza toa wachezaji wote wa kolo FC except Manula
View attachment 2564127