Mtizamo: Wachezaji wa Simba wametuchelewesha sana Taifa stars

Mtizamo: Wachezaji wa Simba wametuchelewesha sana Taifa stars

Kama title inavyosema hapo juu kulingana na performance ya Leo mechi ya taifa stars vs uganda nmegundua yafuatayo:

1. Ile fighting spirit waliyonayo wachezaji wa Yanga bado imeonekana katika mechi ya Leo Kwa taifa stars

2. Kwa kujituma Kwa hawa wachezaji wa Yanga sina wasiwasi hata pale kocha atabeba kikosi chote Cha Yanga kucheza taifa stars ukiondoa wachezaji wa kigeni

3. Kuna watu walitamani tupoteze mchezo huu.......lkn wananchi wametuokoa.... performance kali ya mudathir + Dickson job ......na wengine wananchi by origin kama msuva

NB: kocha ikikupendeza toa wachezaji wote wa kolo FC except manula
View attachment 2564127
Mods mnatufanya wote tuonekane Wahuni kama huyu Mbulura.
 
Kama title inavyosema hapo juu kulingana na performance ya Leo mechi ya taifa stars vs uganda nmegundua yafuatayo:

1. Ile fighting spirit waliyonayo wachezaji wa Yanga bado imeonekana katika mechi ya Leo Kwa taifa stars

2. Kwa kujituma Kwa hawa wachezaji wa Yanga sina wasiwasi hata pale kocha atabeba kikosi chote Cha Yanga kucheza taifa stars ukiondoa wachezaji wa kigeni

3. Kuna watu walitamani tupoteze mchezo huu.......lkn wananchi wametuokoa.... performance kali ya mudathir + Dickson job ......na wengine wananchi by origin kama msuva

NB: kocha ikikupendeza toa wachezaji wote wa kolo FC except manula
View attachment 2564127
Huu ni upumbavu sana.
Ni nani alitamani timu ifungwe kisa wachezaji wake hawakuchaguliwa?
Huu ni upunguani kuleta uzi kama huu,kwani kutoitwa wachezaji wake timu ya taifa kuna faida kubwa kwa Simba kuliko hizo sifa unazotaka.
 
Wanachotakiwa kuelewa hawa Utopolo ni kwamba wachezaji walioachwa sio kwamba ni wabaya probably hawafit kwenye mfumo wa kocha.

Kuna hata wachezaji wa Yanga wazuri tu na wameachwa kwa hiyo Utopolo mnamaanisha na hao wachezaji wenu wana uwezo mdogo na pia wamelichelewesha Taifa??

Afcon iliyopita hao wachezaji wa Simba walioachwa chini ya Kim Paulsen walihusika au hawakuhusika kuipeleka timu kwenye mashindano ya Afcon??

Baadhi ya washabiki wa Yangu mnalitia Taifa aibu kwa mawazo yenu finyu ndio maana timu yenu ipo nafasi sijui ya sabini na ngapi huko Africa nzima.
 
Uko sahihi Mkuu, Makolo wametuchelewesha sana,, hawa wachezaji wa Madunduka FC hawana spirit kabisa ya kupambania Timu..
 
Kama title inavyosema hapo juu kulingana na performance ya Leo mechi ya taifa stars vs uganda nmegundua yafuatayo:

1. Ile fighting spirit waliyonayo wachezaji wa Yanga bado imeonekana katika mechi ya Leo Kwa taifa stars

2. Kwa kujituma Kwa hawa wachezaji wa Yanga sina wasiwasi hata pale kocha atabeba kikosi chote Cha Yanga kucheza taifa stars ukiondoa wachezaji wa kigeni

3. Kuna watu walitamani tupoteze mchezo huu.......lkn wananchi wametuokoa.... performance kali ya mudathir + Dickson job ......na wengine wananchi by origin kama msuva

NB: kocha ikikupendeza toa wachezaji wote wa kolo FC except manula
View attachment 2564127
Kipimo cha akili ya mtu
 
Kama title inavyosema hapo juu kulingana na performance ya Leo mechi ya taifa stars vs uganda nmegundua yafuatayo:

1. Ile fighting spirit waliyonayo wachezaji wa Yanga bado imeonekana katika mechi ya Leo Kwa taifa stars

2. Kwa kujituma Kwa hawa wachezaji wa Yanga sina wasiwasi hata pale kocha atabeba kikosi chote Cha Yanga kucheza taifa stars ukiondoa wachezaji wa kigeni

3. Kuna watu walitamani tupoteze mchezo huu.......lkn wananchi wametuokoa.... performance kali ya mudathir + Dickson job ......na wengine wananchi by origin kama msuva

NB: kocha ikikupendeza toa wachezaji wote wa kolo FC except manula
View attachment 2564127
Huwa unaelemewa na ujinga mwingi sana.Na tukikuacha bila kukueleza utazoea na kuona ndivyo unapaswa kuandika na kuishi.Kua.Acha tabia za kitoto.
 
Kama title inavyosema hapo juu kulingana na performance ya Leo mechi ya taifa stars vs uganda nmegundua yafuatayo:

1. Ile fighting spirit waliyonayo wachezaji wa Yanga bado imeonekana katika mechi ya Leo Kwa taifa stars

2. Kwa kujituma Kwa hawa wachezaji wa Yanga sina wasiwasi hata pale kocha atabeba kikosi chote Cha Yanga kucheza taifa stars ukiondoa wachezaji wa kigeni

3. Kuna watu walitamani tupoteze mchezo huu.......lkn wananchi wametuokoa.... performance kali ya mudathir + Dickson job ......na wengine wananchi by origin kama msuva

NB: kocha ikikupendeza toa wachezaji wote wa kolo FC except manula
View attachment 2564127
Kweli kabisa.
 
Wanachotakiwa kuelewa hawa Utopolo ni kwamba wachezaji walioachwa sio kwamba ni wabaya probably hawafit kwenye mfumo wa kocha.

Kuna hata wachezaji wa Yanga wazuri tu na wameachwa kwa hiyo Utopolo mnamaanisha na hao wachezaji wenu wana uwezo mdogo na pia wamelichelewesha Taifa??

Afcon iliyopita hao wachezaji wa Simba walioachwa chini ya Kim Paulsen walihusika au hawakuhusika kuipeleka timu kwenye mashindano ya Afcon??

Baadhi ya washabiki wa Yangu mnalitia Taifa aibu kwa mawazo yenu finyu ndio maana timu yenu ipo nafasi sijui ya sabini na ngapi huko Africa nzima.
Mbna Sasa mlipiga kelele baada ya kuachwa
 
Kama title inavyosema hapo juu kulingana na performance ya Leo mechi ya taifa stars vs uganda nmegundua yafuatayo:

1. Ile fighting spirit waliyonayo wachezaji wa Yanga bado imeonekana katika mechi ya Leo Kwa taifa stars

2. Kwa kujituma Kwa hawa wachezaji wa Yanga sina wasiwasi hata pale kocha atabeba kikosi chote Cha Yanga kucheza taifa stars ukiondoa wachezaji wa kigeni

3. Kuna watu walitamani tupoteze mchezo huu.......lkn wananchi wametuokoa.... performance kali ya mudathir + Dickson job ......na wengine wananchi by origin kama msuva

NB: kocha ikikupendeza toa wachezaji wote wa kolo FC except manula
View attachment 2564127
Ila ikiwa hivyo kolo fc wataandamana😂
 
Washabiki wa utopolo wote wapo kama afande tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom