Yupo Mwanza, sasa ameamua kujiajiri mwenyewe.. naona kajitoa kwenye ajira ya kusimamiwa
Amefungua vijiduka vyake vya electonics (simu na CD's) siku hizi amekuwa mtaalamu wakubarn CD's ukitaka CD za kubarn ni kwake..
Yupo Mwanza, sasa ameamua kujiajiri mwenyewe.. naona kajitoa kwenye ajira ya kusimamiwa
Amefungua vijiduka vyake vya electonics (simu na CD's) siku hizi amekuwa mtaalamu wakubarn CD's ukitaka CD za kubarn ni kwake..