Mto Kongo na Maajabu yake

kutofautisha kuna Congo Kinshasa raisi ni Etiene Tshekedi na Congo Brazzaville raisi ni Denis Sasou Ngueso.
Infact waligawanywa tu na wakoloni shauri ya ukubwa ila hawa ni ndugu
Tukutupe Congo ipi mkuu?
 
Unakataa nini sasa? Na wewe umesoma jalalani nini? Mwandishi anakwambia alikuwa ni Mzungu wa kwanza kutoka Ulaya kuweza kufika mto Kongo! Usiwe limazwazwa mkuu!
Hapo No 6 ndio pekee nakataa mana huyo Mzungu alikuta watu hapo wakiishi ...Tofauti tu hawakuwa Wazungu
 
Congo Kinsasha kwenye utajiri
Haugopi Ebola Mzee Meko kwa maana inakadiriwa watu karibia 1000 tayari wameshakufa kwa sababu ya ugonjwa huo. Hali ni mbaya sana mkuu huko Congo kwa baadhi ya majimbo.
 
Unakataa nini sasa? Na wewe umesoma jalalani nini? Mwandishi anakwambia alikuwa ni Mzungu wa kwanza kutoka Ulaya kuweza kufika mto Kongo! Usiwe limazwazwa mkuu!
Msamehe mkuu, I hope kajifunza kitu next time atasoma between the lines.
 
hivi nauliza mto Congo ni navigable?
 
Mkuu mkiweka kiongozi mzalendo wanamuua mabeberu kwa njia yeyote.
 
Sasa maajabu yako wapi hapo wastage
 
Kama ni mto wa pili kwa kupeleka kiasi kikubwa cha maji baharini duniani na mto wa tisa kwa ukubwa duniani iweje Nile iwe kubwa kuliko mto Kongo, je huo ukubwa unatazamwa katika sura ya upana au pamoja na kina chake?
Nile ni ndefu lakini nyembamba. Congo ni mto mpana na wenye kina kirefu zaidi
 
Kama ni mto wa pili kwa kupeleka kiasi kikubwa cha maji baharini duniani na mto wa tisa kwa ukubwa duniani iweje Nile iwe kubwa kuliko mto Kongo, je huo ukubwa unatazamwa katika sura ya upana au pamoja na kina chake?
Nile ni mto mrefu zaidi duniani na siyo mto mkubwa zaidi duniani. Ukubwa wa mto unapimwa kwa discharge power ya maji yanayomwagwa baharini, kina na upana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…