Mto Kongo na Maajabu yake

Mto Kongo na Maajabu yake

Ryan Holiday

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2018
Posts
2,026
Reaction score
4,450
MTO KONGO
Afrika ni moja kati ya mabara ambalo limebarikiwa sana kuwa na vivutio vya aina mbalimbali. Moja kati ya vivutio hivyo ni Mto Kongo. Mto Kongo ni mto wa pili kwa urefu barani Afrika baada ya Mto Nile, lakini pia ni mto wa tisa kwa urefu duniani. Vyanzo vikuu vya Mto Kongo ni Milima na Nyanda za Juu za Bonde la Ufa la Afrika Mashariki (East Africa Rift Valley), Ziwa Tanganyika (Lake Tanganyika) na Ziwa Mweru (ndio chanzo cha mto Lualaba).



MAAJABU YA MTO KONGO
  1. Mto wa pili kwa urefu barani Afrika baada ya Mto Nile.
  2. Mto wa pili duniani kwa kupeleka kiasi kikubwa cha maji baharini baada ya Mto Amazon wa Amerika ya Kusini (South America).
  3. Mto Kongo ndio mto wenye kina kirefu zaidi duniani, unakadiriwa kuwa na kina zaidi ya 230 mita.
  4. Jina la Mto limetokana na ufalme wa Kongo (Ancient Congo Kingdom) wa hapo zamani, ufalme huo ulikuwepo maeneo ya karibu kuzunguka mdomo wa mto Kongo.
  5. Mitambo ya kuzalisha nishati ya umeme (Hydroelectric plants) inakidiriwa siyo chini ya 40 ndani Mto Kongo ni mto ambao maji yake yananguvu sana kiasi kwamba unauwezo wa kutoa na kukidhi mahitaji ya umeme katika nchi zote za kusini mwa Jangwa la Sahara (Sub-Saharan Africa).
  6. Katika mwaka 1482 Diego Cao ndio alikuwa Mzungu wa kwanza kutoka Ulaya kufika na kujionea Mto Kongo.
  7. Mto Kongo unakatisha katika mstari wa Ikweta (Equator) mara mbili.
  8. Nchi mbili za Afrika majina yake yametokana na uwepo wa Mto Kongo, ambazo ni Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (Democratic Republic of Congo) na Jamhuri ya Kongo (The Republic of the Congo).
  9. Jina la Mto lilibadilishwa kutoka Mto Zaire na kuitwa Mto Kongo mwaka 1997 baada ya Nchi ya Zaire kubadilisha jina lake na kujiita Jamhuru ya Kidemokrasia ya Kongo (Democratic Republic of Congo). The State of Zaire (1971-1997) ilipewa jina kutokana na Mto Zaire ambao hivi sasa unaitwa Mto Kongo baada ya kubadilishwa jina mwaka 1997.
  10. Unakadiriwa kuwa na visiwa vidogo vidogo zaida ya 4000 huku 50 kati ya hivyo vinakidiriwa kuwa na ukubwa zaidi ya (miles) 10 urefu.


  • Vyanzo (Sources) 👉 Lake Tanganyika, Lake Mweru and Highlands and Mountains of East African Rift Valley.
  • Urefu (Length) 👉 4700 km
  • Bonde (Basin Cover) 👉 4,014,500 km square.
  • Mdomo wa Mto (River Mouth) 👉 Atlantic Ocean
1549553849459.png




 
MTO KONGO
Afrika ni moja kati ya bara ambalo limebarikiwa sana kuwa na vivutio vya aina mbalimbali. Moja kati ya vivutio hivyo ni Mto Kongo. Mto Kongo ni mto wa pili kwa ukubwa barani Afrika baada ya Mto Nile, lakini pia ni mto wa tisa kwa ukubwa duniani. Vyanzo vikuu vya Mto Kongo ni Milima na Nyanda za Juu za Bonde la Ufa la Afrika Mashariki (East Africa Rift Valley), Ziwa Tanganyika (Lake Tanganyika) na Ziwa Mweru (ndio chanzo cha mto Lualaba).



MAAJABU YA MTO KONGO
  1. Mto wa pili kwa ukubwa barani Afrika baada ya Mto Nile (Nile River).
  2. Mto wa pili duniani kwa kupeleka kiasi kikubwa cha maji baharini baada ya Mto Amazon wa Amerika ya Kusini (South America).
  3. Mto Kongo ndio mto wenye kina kirefu zaidi duniani, unakadiriwa kuwa na kina zaidi ya 230 mita.
  4. Jina la Mto limetokana na ufalme wa Kongo (Ancient Congo Kingdom) wa hapo zamani, ufalme huo ulikuwepo maeneo ya karibu kuzunguka mdomo wa mto Kongo.
  5. Mitambo ya kuzalisha nishati ya umeme (Hydroelectric plants) inakidiriwa siyo chini ya 40 ndani Mto Kongo ni mto ambao maji yake yananguvu sana kiasi kwamba unauwezo wa kutoa na kukidhi mahitaji ya umeme katika nchi zote za kusini mwa Jangwa la Sahara (Sub-Saharan Africa).
  6. Katika mwaka 1482 Diego Cao ndio alikuwa Mzungu wa kwanza kutoka Ulaya kufika na kujionea Mto Kongo.
  7. Mto Kongo unakatisha katika mstari wa Ikweta (Equator) mara mbili.
  8. Nchi mbili za Afrika majina yake yametokana na uwepo wa Mto Kongo, ambazo ni Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (Democratic Republic of Congo) na Jamhuri ya Kongo (The Republic of the Congo).
  9. Jina la Mto lilibadilishwa kutoka Mto Zaire na kuitwa Mto Kongo mwaka 1997 baada ya Nchi ya Zaire kubadilisha jina lake na kujiita Jamhuru ya Kidemokrasia ya Kongo (Democratic Republic of Congo). The State of Zaire (1971-1997) ilipewa jina kutokana na Mto Zaire ambao hivi sasa unaitwa Mto Kongo baada ya kubadilishwa jina mwaka 1997.
  10. Unakadiriwa kuwa na visiwa vidogo vidogo zaida ya 4000 huku 50 kati ya hivyo vinakidiriwa kuwa na ukubwa zaidi ya (miles) 10 urefu.


  • Vyanzo (Sources) [emoji117] Lake Tanganyika, Lake Mweru and Highlands and Mountains of East
  • African Rift Valley.
  • Urefu (Length) [emoji117] 4700 km
  • Bonde (Basin Cover) [emoji117] 4,014,500 km square.
  • Mdomo wa Mto (River Mouth) [emoji117] Atlantic Ocean
View attachment 1015993



Kiswahili sanifu: moja kati ya mabara, sio moja kati ya bara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bandiko zuri mkuu, kwa kukazia tu uchumi wa Kongo zote mbili (Kinshasa) na (Brazzaville) unategemea sana uwepo wa mto Kongo. Wataaalamu wa mambo wanasema kwamba "River Congo is the only true highway in Congo ". Miundombinu ya barabara na reli ipo chini sana Congo, hivyo basi madini ya shaba na vito pamoja na mazao kama kahawa na sukari husafirishwa pitia mto Kongo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bandiko zuri mkuu, kwa kukazia tu uchumi wa Kongo zote mbili (Kinshasa) na (Brazzaville) unategemea sana uwepo wa mto Kongo. Wataaalamu wa mambo wanasema kwamba "River Congo is the only true highway in Congo ". Miundombinu ya barabara na reli ipo chini sana Congo, hivyo basi madini ya shaba na vito pamoja na mazao kama kahawa na sukari husafirishwa pitia mto Kongo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante sana kwa elimu mkuu
 
Hapo No 6 ndio pekee nakataa mana huyo Mzungu alikuta watu hapo wakiishi ...Tofauti tu hawakuwa Wazungu
Katika mwaka 1482 Diego Cao ndio alikuwa Mzungu wa kwanza kutoka Ulaya kufika na kujionea Mto Kongo.
Alikuwa MZUNGU wa kwanza kutoka ULAYA, soma vizuri hapo juu, SI MVUMBUZI, Waafrika walikuwepo hapo.
 
MTO KONGO
Afrika ni moja kati ya mabara ambalo limebarikiwa sana kuwa na vivutio vya aina mbalimbali. Moja kati ya vivutio hivyo ni Mto Kongo. Mto Kongo ni mto wa pili kwa ukubwa barani Afrika baada ya Mto Nile, lakini pia ni mto wa tisa kwa ukubwa duniani. Vyanzo vikuu vya Mto Kongo ni Milima na Nyanda za Juu za Bonde la Ufa la Afrika Mashariki (East Africa Rift Valley), Ziwa Tanganyika (Lake Tanganyika) na Ziwa Mweru (ndio chanzo cha mto Lualaba).



MAAJABU YA MTO KONGO
  1. Mto wa pili kwa ukubwa barani Afrika baada ya Mto Nile (Nile River).
  2. Mto wa pili duniani kwa kupeleka kiasi kikubwa cha maji baharini baada ya Mto Amazon wa Amerika ya Kusini (South America).
  3. Mto Kongo ndio mto wenye kina kirefu zaidi duniani, unakadiriwa kuwa na kina zaidi ya 230 mita.
  4. Jina la Mto limetokana na ufalme wa Kongo (Ancient Congo Kingdom) wa hapo zamani, ufalme huo ulikuwepo maeneo ya karibu kuzunguka mdomo wa mto Kongo.
  5. Mitambo ya kuzalisha nishati ya umeme (Hydroelectric plants) inakidiriwa siyo chini ya 40 ndani Mto Kongo ni mto ambao maji yake yananguvu sana kiasi kwamba unauwezo wa kutoa na kukidhi mahitaji ya umeme katika nchi zote za kusini mwa Jangwa la Sahara (Sub-Saharan Africa).
  6. Katika mwaka 1482 Diego Cao ndio alikuwa Mzungu wa kwanza kutoka Ulaya kufika na kujionea Mto Kongo.
  7. Mto Kongo unakatisha katika mstari wa Ikweta (Equator) mara mbili.
  8. Nchi mbili za Afrika majina yake yametokana na uwepo wa Mto Kongo, ambazo ni Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (Democratic Republic of Congo) na Jamhuri ya Kongo (The Republic of the Congo).
  9. Jina la Mto lilibadilishwa kutoka Mto Zaire na kuitwa Mto Kongo mwaka 1997 baada ya Nchi ya Zaire kubadilisha jina lake na kujiita Jamhuru ya Kidemokrasia ya Kongo (Democratic Republic of Congo). The State of Zaire (1971-1997) ilipewa jina kutokana na Mto Zaire ambao hivi sasa unaitwa Mto Kongo baada ya kubadilishwa jina mwaka 1997.
  10. Unakadiriwa kuwa na visiwa vidogo vidogo zaida ya 4000 huku 50 kati ya hivyo vinakidiriwa kuwa na ukubwa zaidi ya (miles) 10 urefu.


  • Vyanzo (Sources) [emoji117] Lake Tanganyika, Lake Mweru and Highlands and Mountains of East African Rift Valley.
  • Urefu (Length) [emoji117] 4700 km
  • Bonde (Basin Cover) [emoji117] 4,014,500 km square.
  • Mdomo wa Mto (River Mouth) [emoji117] Atlantic Ocean
View attachment 1015993



Asante mkuu.
Afrika imebarikiwa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo No 6 ndio pekee nakataa mana huyo Mzungu alikuta watu hapo wakiishi ...Tofauti tu hawakuwa Wazungu
Ndiyo maana mwandishi amesema mzungu wa kwanza ili kuondoa unafiki wa wazungu wanapodai eti wao ndiyo wa mwanzo kuyaona na kuzindua raslimali zilizopo Afrika kana kwamba bara hili halikua na watu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mto wa pili duniani kwa kupeleka kiasi kikubwa cha maji baharini baada ya Mto Amazon wa Amerika ya Kusini (South America).

Kama ni mto wa pili kwa kupeleka kiasi kikubwa cha maji baharini duniani na mto wa tisa kwa ukubwa duniani iweje Nile iwe kubwa kuliko mto Kongo, je huo ukubwa unatazamwa katika sura ya upana au pamoja na kina chake?
 
Back
Top Bottom