NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
Lakini walishasema hawamtaki , ila kwa uzoefu wako ni lini mashabiki waliwahi kuwa na akili.mpirani ukikosea unasemwa ukipatia unasifiwa.Hakuna mashabiki vigeugeu kama hawa jamaa. Nakumbuka hawahawa waliandamana kutaka Matola aondolewe kwenye benchi sasa ivi wote wameufyata. Nasubiri siku wajikwae kidogo utashangaa nyuzi zitakavyo anza kuongozana kama mabasi ya mkoani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Luc Eymael ni genius hasa,alivyowaelezea kima wa Utopolo ndivyo walivyo haswa hadi FIFA kumzawadia m 354 zitakazolipwa na Utopolo.Sijui ni kwa nini! Ila mpaka kesho huwa naamini Ismail Aden Rage aliwaza mbali sana kuwaita hawa jamaa mbumbumbu!
Yaani ukiwaza kwa kina, unaona kama kuna ukweli ndani usio na kipingamizi, yake. Na kama huamini, basi subiri timu yao itoe sare au kufungwa na timu yoyote ile!! Utashangaa watakavyo watukana wachezaji, makocha na CEO wao Barbara. Ila kwa sasa ni pongezi tu! Dakika 0, wamebadilika.
Jana uliwaambia,Club Africain sio masiharaOngezea
1. Club Africain
2. Future
3. Far Rabat
4. Al ahil tripol
5. Usm algers
6. Cs Cfaxien
Hapo hakuna timu ambayo yanga anaweza kuitoa.
Hivyo kufika group stage ya ccc bado ni mtihani labda Muumba awajalie kuvuka lakini kiuwezo timu nyingi zinawazidi yanga mbinu za kucheza mtoano