Mtoano katika Kombe la Shirikisho ni mgumu kuliko Champions, Yanga wajipange

Mtoano katika Kombe la Shirikisho ni mgumu kuliko Champions, Yanga wajipange

Mwishokambi

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2020
Posts
390
Reaction score
1,425
Al Hilal japo wameiondoa Yanga lakini naiona ni timu dhaifu sana, ni kwa sababu Yanga imejaza sana majina kuliko uwezo wa wachezaji wenyewe.
Wanadhani kuwa na majina makubwa ndiyo ukubwa wa timu.

Timu inacheza lakini mipango haionekani, huyo Morrison bure kabisa, bure kabisa, Fei Toto ameshindwa kabisa kuonyesha kuwa hapa Bongo anapoteza muda wake.

Sasa huko kwenye mtoano wa Shirikisho, ni afadhali ukutane na Al Hilal kuliko hao wanaume wa shirikisho, huko hakuna kabisa matumaini wajomba. Timu zilizofuzu hatua ya 2 Shirikisho ambazo zinasubiri losers wa Champions ni balaa.

Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
 
Ukizitoa
RS BERKANE
TP MAZEMBE
PYRAMID
Zilizobaki zinapgika kama ZALAN
 
Ongezea
1. Club Africain
2. Future
3. Far Rabat
4. Al ahil tripol
5. Usm algers
6. Cs Cfaxien


Hapo hakuna timu ambayo yanga anaweza kuitoa.
Hivyo kufika group stage ya ccc bado ni mtihani labda Muumba awajalie kuvuka lakini kiuwezo timu nyingi zinawazidi yanga mbinu za kucheza mtoano
 
Yanga Wamejaa wazee ambao wamekuja kula Pensheni....!
Aucho
Juma Shabani
Yanick Bangala
Kisinda

Yaani Hawa nina Hakika wakimalizana na Yanga ...... Hata Geita Gold hawatafaa
[emoji16][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Al Hilal japo wameiondoa Yanga lakini naiona ni timu dhaifu sana, ni kwa sababu Yanga imejaza sana majina kuliko uwezo wa wachezaji wenyewe. Wanadhani kuwa na majina makubwa ndiyo ukubwa wa timu. Timu inacheza lakini mipango haionekani, huyo Morrison bure kabisa, bure kabisa, Tei Toto ameshindwa kabisa kuonyesha kuwa hapa Bongo anapoteza muda wake.

Sasa huko kwenye mtoano wa Shirikisho, ni afadhali ukutane na Al Hilal kuliko hao wanaume wa shirikisho, huko hakuna kabisa matumaini wajomba. Timu zilizofuzu hatua ya 2 Shirikisho ambazo zinasubiri losers wa Champions ni balaa.

Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
for the record, wengi wa shirikisho wa mtoano stage hii wanakuwa na hasira sana na kutolewa champions league sasa machungu yote wanamalizia huku kwa hakuna cha machozi ya samaki
 
Mzee mwenzetu biringanya anadai kakataa sana ofa huko kwa malkia kuchezea timu zao akaamua aje acheze utopws baada ya kuona wana malengo mazuri nyie njaa mbaya sana😂😂
 
Penalty gani tena? Apigwe kipanga halafu ipigwe penalty? Kwani kipanga alipigiana penalties na Club Africain?
Kwamba kwakua alipigwa na Club Africain basi hawezi kumsumbua Yanga Sc? We unadhani Yanga angechomoka kwa Club Africain?
 
Akili za mashabiki wa Simba zinahitaji kuchekiwa. Hakika bila Yanga kuwepo mpira usingekua na ladha kabisa. Hebu angalia watu kutwa kuisema Yanga si asubuhi si mchana bila hivyo hawana cha kusema wengine watajigeuza ni mashabiki wa Yanga yan ili mradi waseme tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akili za mashabiki wa Simba zinahitaji kuchekiwa. Hakika bila Yanga kuwepo mpira usingekua na ladha kabisa. Hebu angalia watu kutwa kuisema Yanga si asubuhi si mchana bila hivyo hawana cha kusema wengine watajigeuza ni mashabiki wa Yanga yan ili mradi waseme tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui ni kwa nini! Ila mpaka kesho huwa naamini Ismail Aden Rage aliwaza mbali sana kuwaita hawa jamaa mbumbumbu!

Yaani ukiwaza kwa kina, unaona kama kuna ukweli ndani usio na kipingamizi, yake. Na kama huamini, basi subiri timu yao itoe sare au kufungwa na timu yoyote ile!! Utashangaa watakavyo watukana wachezaji, makocha na CEO wao Barbara. Ila kwa sasa ni pongezi tu! Dakika 0, wamebadilika.
 
Sijui ni kwa nini! Ila mpaka kesho huwa naamini Ismail Aden Rage aliwaza mbali sana kuwaita hawa jamaa mbumbumbu!

Yaani ukiwaza kwa kina, unaona kama kuna ukweli ndani usio na kipingamizi, yake. Na kama huamini, basi subiri timu yao itoe sare au kufungwa na timu yoyote ile!! Utashangaa watakavyo watukana wachezaji, makocha na CEO wao Barbara. Ila kwa sasa ni pongezi tu! Dakika 0, wamebadilika.
Hakuna mashabiki vigeugeu kama hawa jamaa. Nakumbuka hawahawa waliandamana kutaka Matola aondolewe kwenye benchi sasa ivi wote wameufyata. Nasubiri siku wajikwae kidogo utashangaa nyuzi zitakavyo anza kuongozana kama mabasi ya mkoani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom