Aman Ng'oma
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 961
- 533
Serikali imefanya jitihada kubwa ya kuanzisha shule za sekondari za kata nchi nzima ili kuhakikisha kuwa watanzania wengi vijana wanapata fursa ya kusoma ili taifa liwe na wasomi wengi hatimaye liweze kupiga hatua za haraka za maendeleo.
Lakini kwa bahati mbaya sana kuna hujuma ya dhahiri zinazofanyika ili kuzihujumu shule hizi.Nadhani kwa wenye akili wataweza kuibaini hili.Wahusika wakuu ni baraza la mitihani kwa kutokuwa na gradi maalum ya viwango vya ufaulu.
Naiomba serikali ilichunguze mwenendo wa hili baraza la taifa linaangamiza taifa,kuna mchezo wa kukomoana hapa.Ufeliji huu ni aibu kwa serikali.Kwenye hii tume iliyoundwa na Pinda ikigundua kuna watu wanacheza na maisha ya vijana wetu kupitia elimu wanyongwe tu,hawa ni wahujumu nchi.
Lakini kwa bahati mbaya sana kuna hujuma ya dhahiri zinazofanyika ili kuzihujumu shule hizi.Nadhani kwa wenye akili wataweza kuibaini hili.Wahusika wakuu ni baraza la mitihani kwa kutokuwa na gradi maalum ya viwango vya ufaulu.
Naiomba serikali ilichunguze mwenendo wa hili baraza la taifa linaangamiza taifa,kuna mchezo wa kukomoana hapa.Ufeliji huu ni aibu kwa serikali.Kwenye hii tume iliyoundwa na Pinda ikigundua kuna watu wanacheza na maisha ya vijana wetu kupitia elimu wanyongwe tu,hawa ni wahujumu nchi.