Watabeza wee halafu mwishowe wataishia kuiga
Ile haina tofauti na khangaMijitu ya bara ushamba,msuli mtaita khanga
Pamoja na kumsifia na kumpamba hivi huwa mkikutana naye mwituni anawaacha salama!!
Hata khanga watu wa pwani wanafanya taulo kawaida tu.nyie wasukuma vipiIle haina tofauti na khanga
Hawa wanapromote niniInashangaza sana, wanapromote ushoga hawa Kolokolo
HahahaHawa wanapromote nini
Huyu naye vipi?Sasa imefikia hatua wanaume mmeanza kuvaa kanga!! Mnaelekea kubaya.
Hawa wanapromote nini
Hicho ni kitambaa,unashona unavyowezaHizi zimeshonwa kabisa au unanunua kitambaa