Mtori special kwa Aspirini

Mtori special kwa Aspirini

Mahitaji:
  • Nyama ya ng'ombe
  • Ndizi mbichi
  • Kitunguu maji
  • Mafuta ya kupikia
  • Blue band / Tanbond
  • Chumvi kiasi
Namna ya Kupika
  • Katakata nyama na kisha iweke kwenye sufuria yenye maji kidogo na chumvi kiasi
  • Chemsha nyama mpaka iive
  • Epua nyama yako na uiweke pembeni
  • DSC01379.JPG

    • Menya maganda ya ndizi
    • Katakata ndizi katika vipande vidogo kisha vioshe
    • Weka ndizi kwenye sufuria lenye maji kiasi na chumvi
    • Katakata vitunguu maji na viongeze kwenye sufuria lenye ndizi

    DSC01376.JPG
  • Chemsha ndizi
  • Mara kwa mara geuza ndizi na mwiko ili kuhakikisha zote zinaiva.
  • Epua ndizi zako, na kisha punguza maji uliyochemshia kwenye chombo safi
  • Pondaponda ndizi huku ukiongeza maji uliyoyatenga ili kulainisha mchanganyiko
  • Ongeza margarine
  • huku ukiendelea kuponda
DSC01377.JPG



  • Ndizi zinapokua laini kabisa weka nyama uliyochemsha kwenye mchanganyiko wa ndizi
  • Ongeza maji uliyochemshia nyama na koroga mpaka mchanganyiko huo uchanganyike vyema
12.05.2011.JPG


Asprin karibu mume wangu.
Ahsante mke wangu... ngoja nikaoge kwanza
 
Ni ndizi nzuri kwa mtori?
Ndizi kikojozi?
Mkonga wa tembo?
Au nyenyere?
 
Mahitaji:
  • Nyama ya ng'ombe
  • Ndizi mbichi
  • Kitunguu maji
  • Mafuta ya kupikia
  • Blue band / Tanbond
  • Chumvi kiasi
Namna ya Kupika
  • Katakata nyama na kisha iweke kwenye sufuria yenye maji kidogo na chumvi kiasi
  • Chemsha nyama mpaka iive
  • Epua nyama yako na uiweke pembeni
  • DSC01379.JPG

    • Menya maganda ya ndizi
    • Katakata ndizi katika vipande vidogo kisha vioshe
    • Weka ndizi kwenye sufuria lenye maji kiasi na chumvi
    • Katakata vitunguu maji na viongeze kwenye sufuria lenye ndizi

    DSC01376.JPG
  • Chemsha ndizi
  • Mara kwa mara geuza ndizi na mwiko ili kuhakikisha zote zinaiva.
  • Epua ndizi zako, na kisha punguza maji uliyochemshia kwenye chombo safi
  • Pondaponda ndizi huku ukiongeza maji uliyoyatenga ili kulainisha mchanganyiko
  • Ongeza margarine
  • huku ukiendelea kuponda
DSC01377.JPG



  • Ndizi zinapokua laini kabisa weka nyama uliyochemsha kwenye mchanganyiko wa ndizi
  • Ongeza maji uliyochemshia nyama na koroga mpaka mchanganyiko huo uchanganyike vyema
12.05.2011.JPG


Asprin karibu mume wangu.
Dah.... Akibakiza usiumwage bana....tupo njaa Kali huku...
 
Mtori na chapati au maandazi malaini ni habari nyingine aiseeee.
 
Back
Top Bottom