Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
......alifungwa miaka 7....amemaliza ametoka yupo tu mtaani....yule alietobolewa macho alikuwa dalali kununua vitu vya wiziKampeni zimeparibia au zishaanza watu wawe makini kwani yule Said aliyetobolewa macho na scopion yaliishia wap?
Acha udini, ukabila na ukanda wewe.Kaskazini na mambo ya haya ni pete na kidole , ndio kinara
Mtu akiwa mpuusi hana tofauti na mbusi hayawani au habithi.Acha udini, ukabila na ukanda wewe.
Si USEME TU SERIKALI IMESHINDWA KUFANYA KAZI YAKE.Makonda ndio mahakama, ndio polisi, bwana ardhi, mbunge, waziri mkuu na mkuu wa mkoa.
Ukiona kila mtu anakwenda kwa Makonda ujue kwamba Kuna vyombo vya serikali mfano polisi, mahakama na idara ya ardhi, elimu na maji havifanyi kazi