Tetesi: Mtoto afanyiwa mbaya kisiwan Pemba

Tetesi: Mtoto afanyiwa mbaya kisiwan Pemba

Swala la Ulawiti kwa Watoto wadogo ni Changamoto sana hata kwenye nchi zilizoendelea., Kikubwa ni kuongezwa kwa hukumu kwa yeyote atakae kutwa na hatia dhidi ya Unyanyasaji huo wa Watoto. Aidha si busara kulihusisha swala hilo na dini mana hakuna dini yoyote inayoruhusu hilo zaidi ya Ubaradhuli na upotofu wa Maadili kwa baadhi ya Wanaume!
 
Astakhafirullah....!

Walikuwa wamezoea kuwafanya wanawake zao sasa wamehamia kwa watoto.

Mbona viongozi wa dini hawajalaani hilo?
Waliofanya ivo vitendo nivijana wamiaka 18 na 17 nahakuna ata mmoja ambae ameoa. Sasa hio habar wanawafanyia wake zao sijui umeitoa wapi
 
Sheikh watu wa pwani hatari sana kwa hizo mambozz...
Nikweli ila jambo lakushangaza nivile bara mtu anakua shoga anajitangaza anakua huru kabsa, nawabara wenyewe mnamshabikia kwenye mitandao ya kijamii. Naamin tanzania nzima hakuna mahali kwenye mashoga wengi kama kinondoni/mwananyamala
 
Kwahiyo mwanamke wa kipemba analiwa kotekote?
si mpaka umle sasa......huko hakuna malaya huko umri wa mtoto wa kike ukifika anapaswa kuolewa na hapa ndio viumbe hawa huwa adimu kuonekana mtaani kilichobaki ni wanaume kulana wao kwa wao
 
Nikweli ila jambo lakushangaza nivile bara mtu anakua shoga anajitangaza anakua huru kabsa, nawabara wenyewe mnamshabikia kwenye mitandao ya kijamii. Naamin tanzania nzima hakuna mahali kwenye mashoga wengi kama kinondoni/mwananyamala
Kwani hoja ni mashoga au watoto wadogo kufanyiwa vitendo vya ajabu? Kama Kinondoni kuna mashoga wanaojitangaza je huyo kijana mdogo naye ni shoga asiyejitangaza au mnataka kubadili mada na kuifanya ya ushoga kati ya bara na Zanzibar?
 
Kwani hoja ni mashoga au watoto wadogo kufanyiwa vitendo vya ajabu? Kama Kinondoni kuna mashoga wanaojitangaza je huyo kijana mdogo naye ni shoga asiyejitangaza au mnataka kubadili mada na kuifanya ya ushoga kati ya bara na Zanzibar?
soma comment za [emoji115] [emoji115]
 
Nikweli ila jambo lakushangaza nivile bara mtu anakua shoga anajitangaza anakua huru kabsa, nawabara wenyewe mnamshabikia kwenye mitandao ya kijamii. Naamin tanzania nzima hakuna mahali kwenye mashoga wengi kama kinondoni/mwananyamala
Hilo la watu kuwashabikia Mashoga huku bara limetokea wapi? Lini?

Kuhusu huko kinondoni sina uhakika wa kuwepo idadi kubwa ya mashoga kuliko sehemu zingine Tanzania bara kwakuwa sikuwahi kufanya utafiti.....labda ututhibitishie hilo.

Ninachojua ni kwamba ni kweli hata bara kuna mashoga that's all.
 
Kwani hoja ni mashoga au watoto wadogo kufanyiwa vitendo vya ajabu? Kama Kinondoni kuna mashoga wanaojitangaza je huyo kijana mdogo naye ni shoga asiyejitangaza au mnataka kubadili mada na kuifanya ya ushoga kati ya bara na Zanzibar?
Usianze kumshutumu huyo soma comments zote utaona jinsi mada ilivyoanza kugeuzwa.....

Ila tukubali tu mambo kama hizi wasababishi ni sisi wenyewe badala tuungane kwa pamoja kukemea uzandiki huu kwa watoto watu wapo busy kujadili makabila na udini.

So Pathetic.
 
Hilo la watu kuwashabikia Mashoga huku bara limetokea wapi? Lini?

Kuhusu huko kinondoni sina uhakika wa kuwepo idadi kubwa ya mashoga kuliko sehemu zingine Tanzania bara kwakuwa sikuwahi kufanya utafiti.....labda ututhibitishie hilo.

Ninachojua ni kwamba ni kweli hata bara kuna mashoga that's all.
Ok, jambo lahovyo nikusema hao wabakaji walikua wanafanyia hivo vitendo wake zao, hio sio kweli sababu hawakua nawake niushenzi waotu. naamin kuwanamke nikustaarabika
 
Usianze kumshutumu huyo soma comments zote utaona jinsi mada ilivyoanza kugeuzwa.....

Ila tukubali tu mambo kama hizi wasababishi ni sisi wenyewe badala tuungane kwa pamoja kukemea uzandiki huu kwa watoto watu wapo busy kujadili makabila na udini.

So Pathetic.
Sasa na wewe unataka kusema nini? Kama wao wameanza na yeye alikuwa na sababu ya kuendelea kumjibu kwa kumuonyesha hayo aliyoyasema huyo kichaa mmoja? Kama jambo ni unyanyasaji wa watoto basi itoshe kuonyesha masikitiko kwa watoto hawa na kulaani vitendo hivi iwe vimetokea Pemba au Dodoma na kila anayehusika awajibike kwa matendo haya na iwe fundisho kwa wengine.
 
Maisha ya kuigiza na uchamungu wa kughushi ndio yanawagharimu hawa watu. Wanajifanya wamejikita sana kwenye misingi ya imani hata kondom kwa mfano haziuzwi hadharani achilia mbali mambo yetu yale ukionekana hadharani ni msala (hadi uwe umeoa). Ndio maana matendo ya udhalilishaji yapo juu mno huko. Mtu akiwa kwenye jamii anavaa ngozi ya kondoo, full kumcha Mungu akiingia gizani anabaka vitoto maana hiyo huduma adimu huko.
 
Ok, jambo lahovyo nikusema hao wabakaji walikua wanafanyia hivo vitendo wake zao, hio sio kweli sababu hawakua nawake niushenzi waotu. naamin kuwanamke nikustaarabika

Yakhee wewe hujui wapo kinamama wengi pwani na zenji wafanyiwa hivyoo?

Uhovyo waanzia hapo lakini ushenzi na ukatili zaidi wamefanyiwa hao watoto sheikh.

Wengine maalun kabisa sheikh waita huo uchafu eti Sunna.
Ok, jambo lahovyo nikusema hao wabakaji walikua wanafanyia hivo vitendo wake zao, hio sio kweli sababu hawakua nawake niushenzi waotu. naamin kuwanamke nikustaarabika
 
Vijana waliombaka mtoto mpk kimuozesha
 

Attachments

  • IMG-20171125-WA0003.jpg
    IMG-20171125-WA0003.jpg
    11.9 KB · Views: 34
Vitendo vya kinyama kila kona na hasa hivi viserengeti boys ndio mungu avinusuru hatujui kizazi kijacho chaw make 20 mbele kitakuwaje

Mungu atunusuru na vijana wetu na vizazi vyetu dahh maisha yanazidi kua magumu
 
Back
Top Bottom