Hapa sijui nani alianza kumtokea mwenzie i mean kutongoza.
Kama lilianza jamaa nahisi lilianza kiutani utani "....maza dingi alikuwa anakufaidi..'' eti maza na mm nikichukua nafasi ya dingi kuna ubaya?" hapo lazima mama alicheka kidogo akamwambia subiri nae maza nae kuna siku kapiga chimpumu akawa na mihamu akaamua nae kuchombweza akala mzigo
sasa huyo jamaa angezaa na mama yake ambae ni mkewe huyo mtoto wake angemuita mdogo wake au ni mtoto wake na mama yake ambaye ni mke wake angemuita huyo mtoto ni mtoto wake au mjukuu wake? :biggrin1:
Nice you are back, Dena! Long time gone!
Hawa watani zangu wanaaibisha sana!!
Nipo majukumu tu mwaya yanakuwa mazito hapa mie nimepitwa na umri na hii makitu sina hata cha kusema maana naona kama wana laana au wanavuta bangi aaahhhhggggggrrrrrrrrrrrrr
weka wazi kama upo maternity leave nikutumie pampers
Ughimbi pamoja na bangi!!
Hapo hakuna aliyemtokea mwenzie. Ughimbi (pombe) ndiyo iliwatokea wote kwa pamoja, wakajikuta mambo tayari. Baada ya hapo wakaona hamna kurudi nyuma, maji yamemwagika............
sijui ndio maana nauliza.Hivi Zimbabwe nako kuna wangoni?
sielewi unamaanisha nini hapa, je ni kawaida kwa wangoni kulala na mama zao, kuna relation kati ya hizo familia mbili (ya Zim na ya TZ) au ni random coincidence?Ndiyo, Zim kuna wangoni. Kama unaijua history ya wangoni wa TZ, utakumbuka kuwa ni wazawa wa Chaka the Zulu. Yaani walitokea Sauzi kwa kupitia Zim, Zambia, Malawi hadi TZ.
Kwa hiyo ile story ya Zim na hii ya Tz kuna uhusiano
Alikuwa amelewa pombe kwa miaka 10?hahahaha pombe mwana haramu i see, jamaa akamvue mama yake hivi hivi dah
sijui ndio maana nauliza.
sielewi unamaanisha nini hapa, je ni kawaida kwa wangoni kulala na mama zao, kuna relation kati ya hizo familia mbili (ya Zim na ya TZ) au ni random coincidence?