Mtoto aishi na mama yake mzazi kinyumba miaka 10

naona shangazi ka-specialize kuandika habari za kidaku, si unaona hata hii story haina tofauti na zile alizozoea kuziandika?
 
Shetani na laana vinasingiziwa tu, kama anavyosingiziwa mungu.

Shetani wa mtu ni mtu mwenyewe.

mkuu i know what i was talking...nipo deep upande huo, man was created pure, but spoiled by satan. kuanzia hapo mwanadamu ana free will, kuchagua ubaya au wema lazima ujue kuwa kuna chanzo.
WEMA chanzo chake ni Mungu na UBAYA chanzo chake ni Shetani.
 
mkuu i know what i was talking...nipo deep upande huo, man was created pure, but spoiled by satan. kuanzia hapo mwanadamu ana free will, kuchagua ubaya au wema lazima ujue kuwa kuna chanzo.
WEMA chanzo chake ni Mungu na UBAYA chanzo chake ni Shetani.

Una ushahidi kwamba shetani yupo? Unajua nini? Upo deep kilometa ngapi kwenye upande huo?

Mana was created pure by whom?

Mwanadamu ana freewill?

Huwezi kusema wema chanzo chake ni mungu na ubaya chanzo chake shetani, kama unaamini mungu kaumba vyote. Kwa sababu inherently mungu kaumba ubaya.

Kama mungu hajaumba ubaya, hata huyo shetani unayesema ndiye chanzo cha ubaya, kaupata wapi ubaya?
 

nitafute kwa muda wako...hapa tutapotezea watu wengine muda tu
 
nitafute kwa muda wako...hapa tutapotezea watu wengine muda tu

Hapana,

JF ni jumba la mijadala, na ukianza habari ya "nitafute kwa muda wako" utaonekana unakimbia mjadala.

Jibu maswali, ama kubali kiungwana kwamba kilemba cha ukoka cha "nipo deep" ni majigambo yasiyo msingi tu.

Niambie umesoma classic gani ya theolojia kujihakikisha kwamba upo "deep"?
 
Huenda mama alihangaika kupata ujauzito kipindi hicho anatafuta mtoto
akahangaika kwa waganga kwa imani yake akafanikiwa kupata mimba
akamzaa huyo mtoto, matokeo yake ule ugangauganga ukawaingia wote na
ndo hayo tunaona wanayatenda
 

anzisha thread yenye title husika
 
Sodoma na gomora inatunyemelea kwa kasi, ewe mwenyezi mungu tunusuru
 
Mh! This is Abomination !!!!!!!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…