Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,746
naona shangazi ka-specialize kuandika habari za kidaku, si unaona hata hii story haina tofauti na zile alizozoea kuziandika?Yaani magazeti ya udaku nilisha achana nayo tokea enzi nza udaku...lakini huyu Joyce Joliga ni shangazi yangu mdogo wake na mke wa mjomba wangu...mara ya mwisho kuonana naye alikuwa akifanya kazi Global Publishers kwenye magazeti ya udaku...Sasa nashangaa lini amehamia kwenye gazeti la mwananchi.