Superman
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 5,693
- 1,702
Wana JF;
Mtoto anapozaliwa, akili yake inauwezo mkubwa wa grasp mambo ya msingi kuliko wakati wowote. Mfano kumtambua mama, harufu yake, sauti yake, mazingira yake nk.
Inasadikiwa na Wanasaikolojia kuwa mambo mengi ambayo ni basic yanaanza kujijenga katika akili ya mtoto katika umri wa hadi mwaka moja. "Controller" ya the way we think and perceive things inajengwa katika tender age na hii controller inapatikana katika front lobe ya brain ya mwanadamu. Hatimaye hii controller ndiyo inayojenga patterns za tabia ya mtu.
Wakati katika umri huyo mtoto hawezi kumwambia mtu wakati anapiga chabo, definetely kama itakuwa routine ya nyie kufanya mbele yake akiwaona, itakuja kujengeka pia akilini mwake and will grow with it . . . . then u know what will be next.
Mtoto anapozaliwa, akili yake inauwezo mkubwa wa grasp mambo ya msingi kuliko wakati wowote. Mfano kumtambua mama, harufu yake, sauti yake, mazingira yake nk.
Inasadikiwa na Wanasaikolojia kuwa mambo mengi ambayo ni basic yanaanza kujijenga katika akili ya mtoto katika umri wa hadi mwaka moja. "Controller" ya the way we think and perceive things inajengwa katika tender age na hii controller inapatikana katika front lobe ya brain ya mwanadamu. Hatimaye hii controller ndiyo inayojenga patterns za tabia ya mtu.
Wakati katika umri huyo mtoto hawezi kumwambia mtu wakati anapiga chabo, definetely kama itakuwa routine ya nyie kufanya mbele yake akiwaona, itakuja kujengeka pia akilini mwake and will grow with it . . . . then u know what will be next.