permist
JF-Expert Member
- Feb 23, 2017
- 650
- 408
Upo tayar ww ufunguliwe jalada ili mtoto apate hakiKabisa mkuu mnyonge kupata haki
Yake n mungu tu anasaidia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo tayar ww ufunguliwe jalada ili mtoto apate hakiKabisa mkuu mnyonge kupata haki
Yake n mungu tu anasaidia
Hakimu utakuw ww ama??Upo tayar ww ufunguliwe jalada ili mtoto apate haki
Okey wewe unadhani nini kifanyike,au huo upepelezi ufanyike vip?Sikiliza ndugu..hatusemi hapa ili kumuona MTU au MTU afungwe asiye na hatia.
Nilichouliza ni kuwa tukio limetokea na mtoto amepata madhara tena mtoto mdogo wa kuogeshwa maji na mama yake.
Je kiupelelezi ndiyo tumefika mwisho kisa tukio toka lifanyike mama amempeleka mtoto polisi na hospital baada ya wiki moja??
Kwahiyo Upelelezi wetu hauna mbinu zingine zaidi ya kuangalia mbegu za kiume? Ndiyo una maanisha hivyo Au??
Hebu tupanue mawazo yetu zaidi nje ya box!!