Mtoto aliyeishi tumboni mwa mamake kwa miaka 13 atolewa kupitia upasuaji huko Mandera..

Mtoto aliyeishi tumboni mwa mamake kwa miaka 13 atolewa kupitia upasuaji huko Mandera..

Tony254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2017
Posts
16,017
Reaction score
16,431
Tumeanza kuona matunda ya ugatuzi wa Kenya. Kuna mama kutoka Ethiopia ambaye alishindwa kupata usaidizi wa kufanyiwa upasuaji ili kumtoa mtoto aliyekufia tumboni mwake kwa miaka 13. Katiba mpya ilileta mfumo wa ugatuzi na hii iliiwezesha gatuzi la Mandera kujenga hospitali ya kisasa inayoweza kufanya oparesheni ya Cesarean section. Zamani kabla ya Ugatuzi kuwepo, iliwabidi wakaazi wa Mandera kuelekea maeneo mengine ya Kenya ili kufanyiwa upasuaji lakini sasa wanaweza kufanyiwa upasuaji katika gatuzi lao bila kusafiri kwingine. Sasa cha kushangaza ni kuwa hata raia wa Ethiopia pia wameanza kutiririka Kenya wakitafuta matibabu. Mama huyu kutoka Ethiopia amefanyiwa upasuaji bila bugdha.
Tazama hapa




 
Size ya mtoto baada ya miaka 13 ipo vipi?

Umri wa mtoto huwa tunaanza kuhesabu baada ya kuzaliwa sasa huyo miaka 13 tayari kapoteza yupo tumboni.
 
itz not a live baby,itz been there for 13yrs

itz utopian,stone baby,maza iz 32 and from ethiopia...amesema Daktari
 
Kiswahili kigumu, anyway tuseme alimaanisha miezi na sio miaka.
 
Tumeanza kuona matunda ya ugatuzi wa Kenya. Kuna mama kutoka Ethiopia ambaye alishindwa kupata usaidizi wa kufanyiwa upasuaji ili kumtoa mtoto aliyekuwa anaishi tumboni mwake kwa miaka 13. Katiba mpya ilileta mfumo wa ugatuzi na hii iliiwezesha gatuzi la Mandera kujenga hospitali ya kisasa inayoweza kufanya oparesheni ya Cesarean section. Zamani kabla ya Ugatuzi kuwepo, iliwabidi wakaazi wa Mandera kuelekea maeneo mengine ya Kenya ili kufanyiwa upasuaji lakini sasa wanaweza kufanyiwa upasuaji katika gatuzi lao bila kusafiri kwingine. Sasa cha kushangaza ni kuwa hata raia wa Ethiopia pia wameanza kutiririka Kenya wakitafuta matibabu. Mama huyu kutoka Ethiopia amefanyiwa upasuaji bila bugdha.
Tazama hapa





Hili ni jambo la kusikitisha sana kwa mtu msomi na mwenye uelewa mzuri kama wewe kuamini ujinga kama huu, kwamba mtoto wa binadamu anaweza kuishi tumboni kwa miaka 13, hivi sisi waafrica huko shuleni tunaenda kufuata nini?
 
Hili ni jambo la kusikitisha sana kwa mtu msomi na mwenye uelewa mzuri kama wewe kuamini ujinga kama huu, kwamba mtoto wa binadamu anaweza kuishi tumboni kwa miaka 13, hivi sisi waafrica huko shuleni tunaenda kufuata nini?
Wewe huwa unajiona mwerevu sana lakini sidhani kama wewe ni mwerevu unavyodhani.
 
Wacha kupinga kama mjinga na hata hujatazama video

I said I doubt, sio lazima niangalie video Kenge wewe, doubt sio kupinga fisi wewe! Kama hujui kingereza tulia, limbukeni wewe!
 
I said I doubt, sio lazima niangalie video Kenge wewe, doubt sio kupinga fisi wewe! Kama hujui kingereza tulia, limbukeni wewe!
Halafu punguza nyege ya kike. Mbona unacatch mafeelings kama mburukenge?
 
Hii habari nina mashaka nayo mno maana hapa ni sawa nimenunua shati sh. 100 kisha nikiulizwa nasema nimenunua sh. 1000
 
Back
Top Bottom